Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAUTI SOL WATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET 2015

Wasanii wanaounda kundi maarufu la Sauti Sol nchini Kenya. BEST FEMALE R&B/POP ARTIST
BEYONCÉ
CIARA
JANELLE MONÁE
JHENÉ AIKO
K. MICHELLE
RIHANNA BEST MALE R&B/POP ARTIST
AUGUST ALSINA
CHRIS BROWN
JOHN LEGEND
THE WEEKND
TREY SONGZ
USHER BEST GROUP
A$AP MOB
JODECI
MIGOS
RAE SREMMURD
RICH GANG
YOUNG MONEY BEST… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel watajwa kuwania tuzo za BEFFTA 2015 za UK

Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel ni miongoni mwa wasanii wa Afrika Mashariki waliotajwa kuwania tuzo za ‘Black Entertainment, Film, Fashion, Television and Arts Awards’ (BEFFTA 2015) za Uingereza. Wasanii hao wanawania kipengele cha ‘Best International African Act’ wakiwa na wasanii wengine wa Afrika ambao ni Davido, Wizkid, Sarkordie, P Square, Timaya […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda

Mastaa wa Tanzania Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na Omary Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, nyimbo zao zimetajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards (HMA2015) za Uganda zinazotarajiwa kutolewa mwakani. ‘Number One’ (original) ya Diamond na ‘Ndagushima’ ya Dimpoz zinachuana na nyimbo zingine za Afrika Mashariki kwenye kipengele kimoja cha East Africa Super Hit. Nyimbo za […]

 

10 years ago

Vijimambo

Celebrity Reactions After Sauti Sol Scooped Prestigious BET Nomination






Sauti Sol has done it again! After bagging MTV EMA, Best African Act, last year, the all boys band has secured a spot on this year’s BET Awards.
News of Sauti Sol bagging BET Nomination hit the country last evening immediately driving Kenyans into a wild frenzy.
See also: Sauti Sol Gets Nominated For A Glamorous Award!!
Kenyans forgot about everything else to warm up to the good news. Lots of folks have been sending in congratulatory messages to the country’s finest singing quartet.
Celebrities...

 

10 years ago

Bongo5

Although Sauti Sol loses the BET Award, there is still a chance to win MTV MAMA

Sauti Sol were not only representing their country Kenya on BET Awards, but East Africa as well. After losing the “Best International Act Africa” BET Award to Ghana’s dancehall hit maker Stonebwoy, the four member Boy-band still have another chance of winning 2015 MTV MAMA next month. “Join us in congratulating Ghana!! @stonebwoyb winner BET […]

 

10 years ago

Bongo5

Common na John Legend watajwa kuwania tuzo za Oscar

Common na John Legend wanaendelea kung’ara. Baada ya kushinda tuzo za Golden Globe, rapper na muimbaji huyo wametajwa kuwania tuzo za Oscar zijulikanazo pia kama Academy Awards. Wimbo wao ‘Glory’ uliotumika kwenye filamu ya Selma umetajwa kuwania kipengele cha Original Song. Majina hayo yalitangazwa Alhamis hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera Diamond kwa kuteuliwa kuwania tuzo za BET

Nyota ya Tanzania katika sanaa imepata mwangaza na msukumo mpya baada ya msanii wake mahiri, Naseeb Abdul au Diamond kuteuliwa kuwania tuzo maarufu za BET zitakazofanyika baadaye mwaka huu kule Marekani.

 

10 years ago

Bongo5

Sauti Sol waongezeka kwenye tuzo za MTVEMA, kuchuana na Diamond na Davido

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTVEMA 2014 yametangazwa rasmi na sasa watu wanaweza kuanza kupiga kura. Kundi la Sauti Sol la Kenya limeongezea kwenye kipengele cha Best African Act kwenye tuzo za MTV Europe. Awali majina manne tu yalikuwa yametangazwa ambayo ni pamoja Davido,Toofan, Diamond na Goldfish. Hii ni orodha nzima. BEST AFRICAN ACT […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).

AFRICAN ARTISTE OF THE...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond, Alikiba na Vanessa Mdee watajwa kuwania tuzo za HiPipo za Uganda (2016)

tuzo

Diamond Platnumz, Alikiba na Vanessa Mdee wametajwa kuwania tuzo za muziki za Uganda, HiPipo za mwaka 2016.

tuzo

Wasanii hao wametajwa kwenye vipengele vya Afrika Mashariki.

Kipengele cha kwanza ni East Africa Super Hit ambacho kinawaniwa na wasanii wa Kenya na Tanzania. Nana ya Diamond Platnumz, Nobody But Me ya Vanessa Mdee f/ K.O na Mwana ya Alikiba zimetajwa.

Kingine ni East Africa Best Video ambapo Nana ya Diamond Platnumz na Nobody But Me ya Vanessa Mdee zimetajwa.

Bofya hapa kusoma majina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani