Celebrity Reactions After Sauti Sol Scooped Prestigious BET Nomination
Sauti Sol has done it again! After bagging MTV EMA, Best African Act, last year, the all boys band has secured a spot on this year’s BET Awards.
News of Sauti Sol bagging BET Nomination hit the country last evening immediately driving Kenyans into a wild frenzy.
See also: Sauti Sol Gets Nominated For A Glamorous Award!!
Kenyans forgot about everything else to warm up to the good news. Lots of folks have been sending in congratulatory messages to the country’s finest singing quartet.
Celebrities...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKm81GDv8oi7VxH3ZjSIYSpYPF4oKgO83KFPConaIHy5XhiVXo7ZvwyeZDnKgUpnc8mgFJeE7orDOB9TBY0mipBQ/SautiSol.jpg)
SAUTI SOL WATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET 2015
10 years ago
Bongo530 Jun
Although Sauti Sol loses the BET Award, there is still a chance to win MTV MAMA
11 years ago
MichuziDIAMOND AONGEA NA JESTINA GEORGE KUHUSU BET NOMINATION 2014
11 years ago
GPLVIDEO: DIAMOND AONGEA NA JESTINA GEORGE KUHUSU BET NOMINATION 2014
9 years ago
Bongo504 Jan
New Video: Sauti Sol – Relax
![relax](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/relax-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya liliumaliza mwaka 2015 likiwa limepeleka sokoni album yao ya tatu, ‘Live and Die in Africa’ ambayo ina mkusanyiko wa hits zao zilizotoka na ambazo hazijatoka. Sauti wanaukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuachia video mpya ya ‘Relax’, wimbo unaopatikana kwenye album hiyo. Itazame hapa
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
AY, Diamond na Sauti Sol we acha tu!
9 years ago
Habarileo15 Aug
Sauti Sol watua, kutumbuiza leo
KUNDI mahiri la muziki nchini Kenya la Sauti Sol jana liliwasili nchini tayari kwa onesho kabambe la muziki la Party in the Park litakalofanyika kwenye viwanja vya Farasi nyuma ya shule ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Sauti Sol kutafuta wachumba Tanzania
Nairobi, Kenya
KUNDI linalofanya vizuri na wimbo wao wa ‘Nerea’ kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, limetangaza kutafuta wachumba wa kuoa nchini Tanzania, huku wakiwaomba radhi wasichana wa Kenya.
“Samahani kwa wasichana wa nchini Kenya kutokana na maamuzi yetu ya kutaka kuoa huku Tanzania. Dar es Salaam? Kwa sasa tunatafuta warembo wa kuwaoa,” waliandika wasanii hao kupitia akauti yao ya Twitter.
Wasanii hao kwa sasa wanafanya vizuri nchini humo na wamefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali nje ya...