Hongera Diamond kwa kuteuliwa kuwania tuzo za BET
Nyota ya Tanzania katika sanaa imepata mwangaza na msukumo mpya baada ya msanii wake mahiri, Naseeb Abdul au Diamond kuteuliwa kuwania tuzo maarufu za BET zitakazofanyika baadaye mwaka huu kule Marekani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKm81GDv8oi7VxH3ZjSIYSpYPF4oKgO83KFPConaIHy5XhiVXo7ZvwyeZDnKgUpnc8mgFJeE7orDOB9TBY0mipBQ/SautiSol.jpg)
SAUTI SOL WATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET 2015
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/10377548_761233197231830_1716468337113105179_n.jpg)
Diamond uso kwa uso na Nelly kwenye red carpet ya tuzo za BET nchini Marekani
Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Flava Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platinumz a.k.a Rais wa wasafi leo amepost picha akisalimiana na msanii wa muziki wa kufokafoka wa nchini Marekani Nelly kwenye red carpet wakati wa sherehe za tuzo za BET ambapo ameandika hivi ” Kupata Fursa ya kushare treatment, kunetwork na kubadili ideas na Wasanii ambao ulikuwa ukiwaona tangu mtoto unakua, na tangu unaanza muziki haujui utoke vipi… kiukweli ni jambo ambalo linatia Moyo na nguvu sana ili uzidi...
10 years ago
Bongo503 Oct
BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mKLrAuJUzIQ/U7f8H7x37XI/AAAAAAAAHK8/eIlE4eVNRWk/s72-c/Diamond+DMK.jpg)
Mahojiano ya Kwanza Production na Diamond Platnumz baada ya tuzo za BET
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKLrAuJUzIQ/U7f8H7x37XI/AAAAAAAAHK8/eIlE4eVNRWk/s1600/Diamond+DMK.jpg)
Photo Credits: DMK Global Promotions' facebook page
Karibu katika mahojiano ya Kwanza Production na Damond Platnumz. Msanii mwenye mafanikio makubwa kutoka nchini TanzaniaAmejiunga nasi kwa njia ya simu punde baada ya kuhudhuria utoaji tuzo za BET ambako yeye alikuwa mmoja wa waliokuwa wakiwania tuzo hizo.Kazungumza mengi kuhusu TUZO HIZO.Alipopokea na alivyopokea uteuzi wake, aliloliona kwenye tuzo hizo, ulinganishaji wake katika...
11 years ago
GPLDIAMOND APAA TENA KIMATAIFA, ACHAGULIWA KUGOMBEA TUZO ZA BET 2014
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDgGV261ahOKmg5yAAPXrPQYl03XgwyT6KJ*X7QZ*MGZLHCnMYImrDUCP6e6MPn1EcoaJ9sr4dvRld94Os09Lw0/diamondplatnumz.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ AKIMBIZA TUZO ZA BET 2014, MPIGIE KURA ASHINDE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cut2CU9O4STaXeyJwo2LiF2HE-83nykb09whYCGDoomJkkgvhefdIdDA9NZL0MLfLed9sD3oNFJtb0DFo66dm1Y/STAA.jpg?width=650)
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA CHOAMVA 2014