Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yatangaza kamati mpya

 Uongozi wa Yanga umeteua kwa mara nyingine tena kamati mpya za kisheria kwa ajili ya kushughulikia masuala mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KAMATI MPYA: Bin Kleb, Nyanda watoswa Yanga

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji na makamu wake, Clement Sanga wamevunja Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo na kuunda mpya huku ikimweka pembeni kinara wa usajili, Abdallah bin Kleb na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Aaron Nyanda.

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

YANGA YATANGAZA KUACHANA NA JUMA KASEJA

Juma Kaseja. YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi. Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu. “Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye...

 

10 years ago

GPL

TFF YATANGAZA VIINGILIO VYA AZAM VS YANGA

Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Boniface Wambura akiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari mbalimbali wakimsikiliza Wambura.…

 

10 years ago

Mwananchi

Necta yatangaza mfumo mpya

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limeanza mfumo mpya wa kupanga matokeo ya kidato cha nne mwaka huu na ya kidato cha sita mwakani, ambapo sasa madaraja yatapangwa kwa wastani wa pointi (GPA) badala ya jumla ya pointi.

 

11 years ago

GPL

Yanga yatangaza waliopigwa chini, kisa Marcio Maximo

Kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo. John Joseph na Wilbert Molandi
IMEFAHAMIKA kuwa ujio wa kocha wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo, umezuia ajira ya makocha 45 walioomba nafasi hiyo kwenye Klabu ya Yanga, lakini pia tayari ameshakabidhiwa majukumu ya kufanya usajili. Maximo raia wa Brazil, yupo katika hatua za mwisho za kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani kabla ya kutua jijini Dar es Salaam kuusaini mkataba...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza idadi mpya ya vituo

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza idadi mpya ya wapigakura ambayo ni milioni 22.75 baada ya uhakiki wa Daftari la Kudumu sambamba na kupungua kwa vituo kutoka 72,000 vilivyotangazwa awali mpaka 65, 105 baada ya kubainika kuwapo kwa zaidi ya majina milioni moja yaliyoandikwa kimakosa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilimanjaro Marathon yatangaza njia mpya

WAANDAAJI wa Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika mwaka huu, ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia hizo mpya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani