CCM YATANGAZA KAMATI YA KAMPENI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-0wanJlZ6PiE/VdLvMH8fEJI/AAAAAAAAxw8/PAQKMvFbgm8/s72-c/CCM%2BCOLOUR.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun0WhdfHjNLfO5wWbjefCXuyksJLsuYTUAK53-4xsJTWfTrBQUo0JMy3McC*HnRNgl*XDMeblTE-jAdGI9-ayZAV/CCMCOLOUR.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-MjeoJgNE4/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/makamba.jpg?width=650)
CCM YATOA MWENENDO WA KAMPENI ZAKE
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uh8QbD6Xio4/UzMcRwOYKCI/AAAAAAAFWls/4gR5sQupGL0/s72-c/3.jpg)
CCM YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE JIMBO LA CHALINZE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uh8QbD6Xio4/UzMcRwOYKCI/AAAAAAAFWls/4gR5sQupGL0/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EVM_92qFK5w/UzMl86TEr2I/AAAAAAAFWpo/a1BJB9Wd48U/s1600/61.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OG6Rb1AHqDc/VdMEfvsN21I/AAAAAAAC9s0/qnvk3ughdiI/s72-c/DSCF8406.jpg)
CCM YATANGAZA RASMI KIKOSI CHAKE CHA KAMPENI 2015 JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OG6Rb1AHqDc/VdMEfvsN21I/AAAAAAAC9s0/qnvk3ughdiI/s640/DSCF8406.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa jana Agosti 17, 2015 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika ...
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Wasomi waichambua kamati ya kampeni CCM
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Chama Cha Mapiduzi (CCM) kutangaza vigogo 32 wanaounda kamati ya kampeni ya mgombea urais wa chama hicho, baadhi ya wachambuzi na wasomi wameikosoa timu hiyo wakisema haina jipya.
Akizungumza jana kwa simu, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO), Profesa Gaudens Mpangala, alisema anashangazwa na wingi wa wajumbe wa timu hiyo akisema ni dhahiri mwaka huu chama hicho tawala kinakabiliwa na upinzani mkali.
“Nimeshangazwa na uwingi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xSXjGaCj0fQ/Uym0qnyzmWI/AAAAAAAFU78/YnxO9t046_g/s72-c/C+4.jpg)
CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://4.bp.blogspot.com/-xSXjGaCj0fQ/Uym0qnyzmWI/AAAAAAAFU78/YnxO9t046_g/s1600/C+4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VTFVrf5BBrg/Uym04KGq0yI/AAAAAAAFU9U/SWYlGyXfJQo/s1600/C+1.jpg)