Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hall asingizia mashabiki wa Yanga

Kocha wa Azam, Stewart Hall amelia na mashabiki wa Yanga kuwa ni miongoni mwa sababu za timu yake kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hall: Simba, Yanga aibu

Kocha wa zamani wa Azam FC, Stewart Hall amewaponda viongozi wa klabu za Simba na Yanga kwa kusema ndio wanaoziharibu timu hizo kisha kuwatwisha mzigo makocha wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Hall ataka kuiua Yanga mapema

Kocha wa Azam FC, Stewart Hall amewataka wachezaji wake kutafuta ushindi wa mapema katika mechi yao ijayo ya Ngao ya Hisani dhidi ya Yanga itakayochezwa Agosti 22 uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Tanzania Daima

Yanga yaomba radhi mashabiki

KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, mewaomba radhi mashabiki kutokana na kufutwa kwa mechi yao ya kirafiki dhidi Big Bullet ya Malawi iliyokuwa ichezwe jana katika Uwanja...

 

11 years ago

GPL

Yanga, Al Ahly hakuna mashabiki

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, watacheza mechi yao ya marudiano na Al Ahly bila ya kuwa na mashabiki watakaoingia kutazama mechi hiyo. Mechi hiyo itakayopigwa Machi Mosi jijini Cairo haitakuwa na mashabiki isipokuwa wachache tu watakaopata kibali kutoka kwa Shirikisho la Soka la Misri (EFA). Mwaka juzi zilizuka vurugu kubwa baada ya timu ya Al Masry kuwachapa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yawakera mashabiki Zenji

BAADHI ya mashabiki wa Yanga mjini hapa wamelaani kitendo cha uongozi wa klabu hiyo kushindwa kupeleka timu katika michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mara nyingine wakisema kunawanyima raha. Wakizungumza...

 

11 years ago

GPL

Mashabiki Yanga waishabikia Simba

Mashabiki wa Yanga. Lucy Mgina na Ibrahim Mussa
KATIKA tukio la kushangaza, ambalo pengine lilionekana ni kama mchezo wa kuigiza, mashabiki wa Yanga, jana Jumapili waliamua kufunika kombe baada ya kuishabikia Simba kwa nguvu zote huku baadhi yao wakiwa na bendera za Msimbazi. Mashabiki wa Yanga ambao wengi wao walikuwa wakiipa nguvu Simba ili iifunge Azam kwenye Uwanja wa Taifa, walifanya hivyo ili Azam ipunguzwe kasi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Yanga wamekosa ustaarabu

Naingia uwanjani kwa mara nyingine katika kona hii ya hoja. Ninaamini kila mmoja yuko katika mchakamchaka kwa nafasi yake katika eneo lake, kwa raha na shida.

 

10 years ago

Mwananchi

Kibaden: Mashabiki waliiponza Yanga 1977

Miaka 38 imepita bila rekodi ya kufunga ‘hat-trick’ (mchezaji mmoja kufunga mabao matatu katika mechi moja) kwenye mechi ya Simba na Yanga iliyowekwa na Abdallah Kibaden kuvunjwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani