Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kibaden: Mashabiki waliiponza Yanga 1977

Miaka 38 imepita bila rekodi ya kufunga ‘hat-trick’ (mchezaji mmoja kufunga mabao matatu katika mechi moja) kwenye mechi ya Simba na Yanga iliyowekwa na Abdallah Kibaden kuvunjwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waamuzi wamshangaa Kibaden

>Dar es Salaam. Uongozi wa Chama cha Waamuzi wa soka Tanzania ‘FRAT’ umemshangaa Kocha Mkuu wa Simba, Abdallah Kibaden kutokana na shutuma alizokuwa akizitoa juu ya mwamuzi, Mohamed Theofile baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu iliyokutanisha timu hiyo na Kagera Sugar juzi Alhamisi katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

kutoka maktaba: Basi la Mbeya-Masasi mwaka 1977

Basi lilikata mbuga likitokea Mbeya kuelekea Masasi. Wenye data watusaidie jina la basi hii iliyoletwa na mdau Joseph Mwaisango wa Mbeya Yetu

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

KOCHA ABDALLAH KIBADEN AZUSHIWA KIFO

Kocha wa zamani wa klabu ya Simba, Abdallah King Kibaden . Kocha wa zamani wa klabu ya Simba, Abdallah King Kibaden amezushiwa kifo katika mitandao ya kijamii. Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally akiongea na Mtandao huu muda huu amesema kuwa ameongea na Abdallah King Kibaden muda huu na ni mzima wa…

 

11 years ago

GPL

Mashabiki Yanga waishabikia Simba

Mashabiki wa Yanga. Lucy Mgina na Ibrahim Mussa
KATIKA tukio la kushangaza, ambalo pengine lilionekana ni kama mchezo wa kuigiza, mashabiki wa Yanga, jana Jumapili waliamua kufunika kombe baada ya kuishabikia Simba kwa nguvu zote huku baadhi yao wakiwa na bendera za Msimbazi. Mashabiki wa Yanga ambao wengi wao walikuwa wakiipa nguvu Simba ili iifunge Azam kwenye Uwanja wa Taifa, walifanya hivyo ili Azam ipunguzwe kasi kwa...

 

11 years ago

GPL

Yanga, Al Ahly hakuna mashabiki

Na Mwandishi Wetu
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, watacheza mechi yao ya marudiano na Al Ahly bila ya kuwa na mashabiki watakaoingia kutazama mechi hiyo. Mechi hiyo itakayopigwa Machi Mosi jijini Cairo haitakuwa na mashabiki isipokuwa wachache tu watakaopata kibali kutoka kwa Shirikisho la Soka la Misri (EFA). Mwaka juzi zilizuka vurugu kubwa baada ya timu ya Al Masry kuwachapa… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Yanga wamekosa ustaarabu

Naingia uwanjani kwa mara nyingine katika kona hii ya hoja. Ninaamini kila mmoja yuko katika mchakamchaka kwa nafasi yake katika eneo lake, kwa raha na shida.

 

9 years ago

Mwananchi

Hall asingizia mashabiki wa Yanga

Kocha wa Azam, Stewart Hall amelia na mashabiki wa Yanga kuwa ni miongoni mwa sababu za timu yake kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii juzi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yanga yaomba radhi mashabiki

KLABU ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Yusuf Manji, mewaomba radhi mashabiki kutokana na kufutwa kwa mechi yao ya kirafiki dhidi Big Bullet ya Malawi iliyokuwa ichezwe jana katika Uwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani