Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAO LA MAPEMA LA NGASSA LAIVUSHA YANGA ROUND YA PILI LICHA LA KULALA UGENINI 2-1

DSC_0863-794466Dk 29, Ngassa analiifungia Yanga bao safi kwa kichwa cha kuchupa baada ya basi nzuri ya Amissi Tambwe aliyeuwahi mpira alioutema kipa wa BDF. Kipindi cha pili BDF XI walirudi na moto na kufanikiwa kuwabana yanga na kurudisha bao na kuongeza la pili lakini na matokeoa kusomeka mwisho wa mchezo 2-1 yanga wanafaida na bao la ugenini na pia ushondo wa 2 bila majibu walioupata Tanzania katika mchezo wao wa Tanzania uliwaakikishia kuwa na kazi nyepese kwenye mchezo wa marudiano. Kwaiyo kwa matokeo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pluijm ataka bao la mapema kuiua Simba

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm ametaja mbinu mkakati atakazozitumia Jumapili kuwasambaratisha watani wao wa jadi, Simba.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: STDz f/ Ruff G — Round ya Pili

Ngoma mpya kutoka kwa kundi la STDz la Arusha wakimshirikisha Ruff G, wimbo unaitwa Round ya Pili. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini

Kwa kuzingatia marekebisho ya Kanuni ya Ligi Daraja la Pili (SDL) yaliyofanywa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hivi karibuni, SDL kwa msimu wa 2015/2016 itachezwa katika makundi manne ya timu sita sita kwa mtindo wa nyumbani na ugenini.
Timu itakayoongoza kundi itacheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2016/2017 wakati ya mwisho katika kila kundi itarudi kucheza Ligi ya Mkoa wake kwa msimu wa 2016/2017. Makundi ya SDL ni kama ifuatavyo; Kundi A ni...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA MOTO CHINI YA VUNA POINT 6 KUTOKA KWA UGENINI SIMBA MDEBWEDO

DK 18 Msuva anaruka juu kuiwahi pasi nzuri ya Niyonzima na kufunga bao safi la kichwa....Dk 59, Ngassa anampiga chenga kipa Burhani aliyejaribu kumpiga chenga yeye na kuandika bao la pili kwa Yanga kwa ufundi kabisa...Dk 68, Peter Mapunda anaruka na kufunga bao zuri kwa kichwa kuwahi krisi nzuri ya Felix.Kona safi iliyochongwa na Niyonzima, inatua kichwani mwa Tambwe anafunga bonge la bao. Hadi mwisho wa mchezo Yanga 3 Mbeya City 1. Kutoka Shinyanga Simba wapigwa tobo moja tu bila majibu.

 

10 years ago

Michuzi

MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mchezaji wa timu ya Yanga,Mrisho Khalfan Ngassa akiwania mpira na Mchezaji wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana wakati wa mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika unaopigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jini Dar es salaam.Yanga inaongoza kwa bao 2 - 0 zilizotiwa kimiani na Mshambuliaji Hamis Tambwe. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI Golikipa wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana akiondosha hatari iliyokuwa ikielekezwa langoni mwake wakati wa Mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika...

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0

 Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa (17) akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius wakati wa mtanange wao wa Ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kufanika hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika hivi punde na Yanga wanaongoza kwa Bao 1-0 lililotiwa kimiani na Mrisho Ngassa,dakika ya 15 ya mchezo kipindi cha kwanza.  Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius akijiandaa...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga hakuna kulala

ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga wamepanga kujichimbia Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho. Kwa sasa timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo zipo mafichoni kujiweka sawa kabla kipute hakijaanza rasmi Septemba 12, mwaka huu kwa msimu wa 2015-16.

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akiwatoka mabeki wa timu ya Komorozine ya nchini Comoro wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga inaongoza kwa Bao 2-0.  Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akichuana vikali na Beki wa Timu ya Komorozine ya nchini Comoro,Ahmad Houmadi (5) wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani