Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm: nimeweka historia kupiga bao 8

PluijmNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, ameeleza kuwa ameandika historia ya kwanza tangu aanze kufundisha soka, kwa timu yake kufunga mabao nane katika mchezo mmoja.
Yanga juzi iliitungua Coastal Union mabao 8-0, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kuzidi kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuchukua ubingwa wa ligi, ikiwa na jumla ya pointi 43.
Wanajangwani hao wameandika historia ya pekee kwenye msimu huu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Maximo ampiga bao Pluijm Yanga

Kocha Marcio Maximo. Hans Mloli na Khadija Mngwai
KOCHA Hans van Der Pluijm aliondoka Yanga na kuacha ripoti ya nini kifanyike ili kuimarisha kikosi cha timu hiyo, lakini uongozi wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauwezi kufanya usajili bila ruhusa ya kocha ajaye klabuni hapo, Marcio Maximo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Pluijm ataka bao la mapema kuiua Simba

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm ametaja mbinu mkakati atakazozitumia Jumapili kuwasambaratisha watani wao wa jadi, Simba.

 

9 years ago

Mwananchi

HISTORIA: Ikumbuke stori ya bao la ‘mkono wa Mungu’

Akiwa na umri wa miaka 42, Ali Bin Nasser ambaye jina lake hujulikana pia  kwa wapenzi na mashabiki wa soka kama  Ali Bennaceur aliongoza mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia nchini Mexico, ambayo imebaki kuwa kumbukumbu hadi leo.

 

11 years ago

GPL

LOGARUSIC ASUBIRI KUPIGA STORI NA PLUIJM TAIFA

Na Hans Mloli
BAADA ya mchezo wa juzi kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri kuisha, Kocha Mkuu wa Simba, Mcroatia, Zdravko Logarusic, hakutaka kuondoka mpaka uwanjani ili atimize azma yake ya kuonana na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Puijm. Logarusic alikuwa jukwaani uwanjani hapo sambamba na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Pope, ambapo waliushuhudia mchezo huo kwa dakika 90. Mara baada ya kuisha kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atamba Yanga kuweka historia kwa Etoile du Sahel

NA JUMA KASESA, TUNISIA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Plujim, ameapa kuiandikia historia timu hiyo kwa kuitoa timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Yanga iliyolazimishwa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa awali uliopigwa jijini Dar es Salaam wiki mbili zilizopita, leo inavaana na timu hiyo katika mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza utakaofanyika katika Uwanja wa Olimpique de Sousse utakaoanza saa 3 usiku kwa saa za Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani