HISTORIA: Ikumbuke stori ya bao la ‘mkono wa Mungu’
Akiwa na umri wa miaka 42, Ali Bin Nasser ambaye jina lake hujulikana pia kwa wapenzi na mashabiki wa soka kama Ali Bennaceur aliongoza mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia nchini Mexico, ambayo imebaki kuwa kumbukumbu hadi leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Pluijm: nimeweka historia kupiga bao 8
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, ameeleza kuwa ameandika historia ya kwanza tangu aanze kufundisha soka, kwa timu yake kufunga mabao nane katika mchezo mmoja.
Yanga juzi iliitungua Coastal Union mabao 8-0, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kuzidi kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuchukua ubingwa wa ligi, ikiwa na jumla ya pointi 43.
Wanajangwani hao wameandika historia ya pekee kwenye msimu huu...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
NEC: Hatutambui ‘bao la mkono la CCM’
10 years ago
Vijimambo04 Jul
‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com/files/oTw*v75BEJGA0rtPvoXLBJSEDHx4ttncygkMzfou0quGXyONA1Y0Hr1sx*84YemxGAAcdxv7pFSjNIgXIkaZBmOFSlu8k*lk/02Baolanape.jpg)
Dar es Salaam.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’
Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oTw*v75BEJGA0rtPvoXLBJSEDHx4ttncygkMzfou0quGXyONA1Y0Hr1sx*84YemxGAAcdxv7pFSjNIgXIkaZBmOFSlu8k*lk/02Baolanape.jpg)
‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwJPaxQ43zv*u8PCj6Qv0Sj14YbEnHhBscx1s2s-t8v7Qnjl2wa47VkDcRr4RiDi4gJAjex5jW3U5gKhg5dhPS24/f.jpg?width=650)
MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWcai-4ApDDfDt8G3RQmnY04TPdMEcrXS2sT9zPqzI9Bu793A8AU029NG*gGBZ0VIQmVbRzFG-JNoDACwytnp1c/Maajabu.jpg?width=650)
HAYA NDIYO MAAJABU YAKE MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Tundu Lissu ahofia ‘bao la mkono’ katika jimbo lake la Singida Mashariki, ataka sheria zifuatwe
Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni.(Picha na Gasper Andrew).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKATI siku zikiwa zimesalia siku moja tu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Antiphas Mughwai Lissu, ameonyesha hofu kubwa kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa haki, kwa madai kuwa Jeshi la Polisi limeandaliwa kuhakikisha...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
‘Serikali ikumbuke walemavu’
MWENYEKITI wa Chama cha Walemavu Wilaya ya Mbarali, Mbeya, Ibrahimu Thomas, ameitaka serikali kutambua umuhimu wa kundi hilo hasa katika kupanga mipango ya bajeti katika halmashauri hiyo. Thomas alitoa kauli...
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA