Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Dar es Salaam.

Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’

Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye. Dar es Salaam. Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’ Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya...

 

10 years ago

GPL

Bao la Jaja latua England

Mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana ‘Jaja’ akishangilia goli.
Na Wilbert Molandi
KWELI alichokifanya mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana ‘Jaja’ raia wa Brazil kupitia bao lake alilofunga dhidi ya Azam, si kitu kidogo. Sasa baadhi ya mitandao, Watanzania na raia wengine kutoka katika nchi za Afrika Mashariki wanaoishi nchini England na Marekani, wamepata kipande cha video kinachoonyesha bao...

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE AITAKA TUME YA UCHAGUZI KUWA NA RATIBA YA UHAKIKA


 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano na Viongozi wa vyama vya siasa ambapo alizungumzia zoezi la kugawa Majimbo ya Uchaguzi.
 Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Julius Malaba akifafanua njia zitakazotumika katika kugawa majimbo ya uchaguzi kwenye mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
 Mwenyekiti wa Tumeya uchaguzi akifafanua jambo wakati wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
 Profesa Ibrahimu Lipumba akichangia mada wakati wa mkutano wa Tume ya Uchaguzi na...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC: Hatutambui ‘bao la mkono la CCM’

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema haitambui bao la mkono, bali inaamini wingi wa kura za wananchi kumpata mshindi halali kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

HISTORIA: Ikumbuke stori ya bao la ‘mkono wa Mungu’

Akiwa na umri wa miaka 42, Ali Bin Nasser ambaye jina lake hujulikana pia  kwa wapenzi na mashabiki wa soka kama  Ali Bennaceur aliongoza mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia nchini Mexico, ambayo imebaki kuwa kumbukumbu hadi leo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar

DSC_0733

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.

DSC_0737

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.

Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc 

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]

The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90

am4

Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.

Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti  wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tundu Lissu ahofia ‘bao la mkono’ katika jimbo lake la Singida Mashariki, ataka sheria zifuatwe

DSC01807

Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea ubunge jimbo la Singida mashariki, Tundu Lissu akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kampeni.(Picha na Gasper Andrew).

DSC01778

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKATI siku zikiwa zimesalia siku moja tu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu  Antiphas Mughwai Lissu, ameonyesha hofu  kubwa kwamba uchaguzi huo hautakuwa huru na wa  haki, kwa madai kuwa Jeshi la Polisi limeandaliwa kuhakikisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani