LOGARUSIC ASUBIRI KUPIGA STORI NA PLUIJM TAIFA
![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jF*i4ZXkfzV9hT7CukkLolbuleM8Nib2gC7Gm4LlIh9O0MSW5sUgnBUaqCgHB54XytoYc8vD1I*hQHYmCRKh9UC/SIMBA.jpg?width=650)
Na Hans Mloli BAADA ya mchezo wa juzi kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri kuisha, Kocha Mkuu wa Simba, Mcroatia, Zdravko Logarusic, hakutaka kuondoka mpaka uwanjani ili atimize azma yake ya kuonana na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Puijm. Logarusic alikuwa jukwaani uwanjani hapo sambamba na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Pope, ambapo waliushuhudia mchezo huo kwa dakika 90. Mara baada ya kuisha kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Pluijm: nimeweka historia kupiga bao 8
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, ameeleza kuwa ameandika historia ya kwanza tangu aanze kufundisha soka, kwa timu yake kufunga mabao nane katika mchezo mmoja.
Yanga juzi iliitungua Coastal Union mabao 8-0, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kuzidi kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuchukua ubingwa wa ligi, ikiwa na jumla ya pointi 43.
Wanajangwani hao wameandika historia ya pekee kwenye msimu huu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoKolNreH1RLmST5btDchIn3qkveKpbkvyxdelXULavVoNhuhRkp8IPhhT34Th1rsQHqUbXa7CUzO4N8N2YSAAD/logasian.gif?width=650)
Logarusic avunja mazoezi Simba, aifuata Yanga Taifa
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.
Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5OeamyNXtNzyJ6JW2WGZzuV9Ujmo3UGuU1uOeYumP2ZaMLRcGGbo*OwY2cL2635uzjpGai6-eD7WBRxVSjqsM3NJ/PLUIJMKITAMBI.jpg)
Mke wa Pluijm atua Dar, azuiwa kwenda Taifa
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Oscar Pistorius asubiri hukumu
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s72-c/01.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura
![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HCd_PviCZk/U0BVixbE10I/AAAAAAAFY0M/QjkmDYMw94U/s1600/02.jpg)