Mke wa Pluijm atua Dar, azuiwa kwenda Taifa
![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5OeamyNXtNzyJ6JW2WGZzuV9Ujmo3UGuU1uOeYumP2ZaMLRcGGbo*OwY2cL2635uzjpGai6-eD7WBRxVSjqsM3NJ/PLUIJMKITAMBI.jpg)
Kocha mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Mwandishi Wetu Dar es Salaam MKE wa Kocha Mkuu wa Yanga ambaye ni raia wa Ghana, amewasili jijini Dar es Salaam kuungana na mumewe. Mwanamama huyo ametua nchini juzi usiku na kuungana na mumewe ambaye sasa ana jukumu la kuhakikisha kikosi chake kinashinda mechi ya Jumapili dhidi ya watani wao, Simba. Pluijm amethibitisha ujio wa mkewe nchini ambaye amezaa naye watoto wawili, lakini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPLUIJM ATUA JIJINI DAR ES ES SALAAM
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Anayekipiga England ‘azuiwa’ Taifa Stars
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Mansfield Town ya England, umemzuia mshambuliaji wake, Adi Yussuf, kujiunga na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa kile ilichodai ya kuwa nyota huyo ni majeruhi.
Yussuf ni miongoni mwa nyota 29 walioitwa kwenye kikosi cha Stars chini ya Kocha Charles Mkwasa, kitakachojiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 Gabon dhidi ya Nigeria ‘Super Eagles’ Septemba 5, mwaka huu.
Klabu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la...
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
5 years ago
StarTV19 Feb
Waziri Mkuu Majaliwa atua Iringa tayari kwenda Njombe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCB5971rFs3cgh2yzpDfEv*rfCloEiw-YTHoysBjMIqVSPWRgym*4-k10k9Lorqb5uzCbg96snCiH8yy*BfMHkDJ/FRONT.jpg?width=650)
MKE ACHINJWA KISA KWENDA SALUNI
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.
Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jF*i4ZXkfzV9hT7CukkLolbuleM8Nib2gC7Gm4LlIh9O0MSW5sUgnBUaqCgHB54XytoYc8vD1I*hQHYmCRKh9UC/SIMBA.jpg?width=650)
LOGARUSIC ASUBIRI KUPIGA STORI NA PLUIJM TAIFA
11 years ago
Michuzi06 May
MKE AZIRAI BAADA YA KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO YEYE NA MUMEWE
baada ya kuhukumiwa miaka mitano jela
Watu wawili wa familia moja Frank Charles na mkewe Asia Khamis wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya shilingi milioni moja kila mmoja kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi. Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Mbeya Maria Batulaine amewatia hatiani wanandoa hao baada ya kuridhishwa na ushahidi usio shaka wa mashahidi wanne wa upande wa mashitaka. Imedaiwa na Mwendesha mashitaka...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/155.jpg)
FASTJET KUISAFIRISHA TAIFA STARS KWENDA ALGERIA