Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wa Pluijm atua Dar, azuiwa kwenda Taifa

Kocha mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Mwandishi Wetu Dar es Salaam
MKE wa Kocha Mkuu wa Yanga ambaye ni raia wa Ghana, amewasili jijini Dar es Salaam kuungana na mumewe. Mwanamama huyo ametua nchini juzi usiku na kuungana na mumewe ambaye sasa ana jukumu la kuhakikisha kikosi chake kinashinda mechi ya Jumapili dhidi ya watani wao, Simba.
Pluijm amethibitisha ujio wa mkewe nchini ambaye amezaa naye watoto wawili, lakini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PLUIJM ATUA JIJINI DAR ES ES SALAAM

Aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Pluijm akiongea jambo na baadhi ya watu waliokuja kumpokea.…

 

9 years ago

Mtanzania

Anayekipiga England ‘azuiwa’ Taifa Stars

130803-adi-yussuf-43169-1300833_478x359NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa timu ya Mansfield Town ya England, umemzuia mshambuliaji wake, Adi Yussuf, kujiunga na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa kile ilichodai ya kuwa nyota huyo ni majeruhi.

Yussuf ni miongoni mwa nyota 29 walioitwa kwenye kikosi cha Stars chini ya Kocha Charles Mkwasa, kitakachojiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 Gabon dhidi ya Nigeria ‘Super Eagles’ Septemba 5, mwaka huu.

Klabu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (kulia), akimakabidhi Bendera ya Taifa, mmoja wa wachezaji wa timu ya Taifa wa mchezo wa Chess, Hemed Mlawa (wa pili kushoto), Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kuondoka kesho kwenda kushiriki mashindano ya kimataifa nchini Norway. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Spicenet, Vinay Choundry ambaye ni muasisi wa mchezo huo hapa nchini, kushoto ni mchezaji Emmanuel Mwaisumbe. Safari hiyo imedhaminiwa na Tanzania Chess...

 

5 years ago

StarTV

Waziri Mkuu Majaliwa atua Iringa tayari kwenda Njombe.

​Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ametua leo asubuhi katika uwanja wa ndege wa Nduli mkoani Iringa tayari kuelekea mkoani Njombe kuendelea na ziara ya kikazi katika mkoa huo. Mhe. Majaliwa alilazimika kukatiza ziara yake mkoani njombe na kwenda Dar Es Salaam kwa shughuli ya kikazi. Mkoani Iringa Waziri Mkuu amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa …

 

10 years ago

GPL

MKE ACHINJWA KISA KWENDA SALUNI

Stori: Dege Masoli, Tanga HII ni zaidi ya ukatili! Jiji la Tanga bado linazizima kufuatia mauaji ya kutisha yanayodaiwa kufanywa na mwanaume aitwaye Khalfan  Hamad (46), dhidi ya mkewe, Mary Lucas (20) kwa kumchinja na panga kisa kikidaiwa ni wivu wa mapenzi, Uwazi lina mkasa mzima. Enzi za uhai wake, Mary Lucas (20) anaedaiwa kuchinjwa na mumewe.
Tukio hilo lililoacha simulizi ya kushangaza miongoni mwa wanandoa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Kocha Pluijm: BDF hawatoki Taifa leo

PluijmNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amewaondoa shaka mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya BDF XI ya Botswana utakaofanyika leo na kueleza kuwa timu yake itawafunga Wabotswana hao.

Yanga itachuana na BDF kwenye mchezo wa hatua ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni leo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana mbele ya waandishi wa habari kwenye mkutano wa makocha wa pande...

 

11 years ago

GPL

LOGARUSIC ASUBIRI KUPIGA STORI NA PLUIJM TAIFA

Na Hans Mloli
BAADA ya mchezo wa juzi kati ya Yanga na Al Ahly ya Misri kuisha, Kocha Mkuu wa Simba, Mcroatia, Zdravko Logarusic, hakutaka kuondoka mpaka uwanjani ili atimize azma yake ya kuonana na Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Puijm. Logarusic alikuwa jukwaani uwanjani hapo sambamba na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Pope, ambapo waliushuhudia mchezo huo kwa dakika 90. Mara baada ya kuisha kwa...

 

11 years ago

Michuzi

MKE AZIRAI BAADA YA KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO YEYE NA MUMEWE

Asia Hamisi akiwa amezirai mahakamani
baada ya kuhukumiwa miaka mitano jela
Watu wawili wa familia moja Frank Charles na mkewe Asia Khamis wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya shilingi milioni moja kila mmoja kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi. Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Mbeya Maria Batulaine amewatia hatiani wanandoa hao baada ya  kuridhishwa na ushahidi usio shaka wa mashahidi wanne wa upande wa mashitaka. Imedaiwa na Mwendesha mashitaka...

 

9 years ago

GPL

FASTJET KUISAFIRISHA TAIFA STARS KWENDA ALGERIA

 Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu ya taifa Taifa Stars kwenda nchini, Algeria kwa mchezo utakaofanyika Novemba 17 mwaka huu. Katibu wa Kamati ya Timu ya Taifa Stars, Teddy Mapunda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu timu hiyo kwenda nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani