Anayekipiga England ‘azuiwa’ Taifa Stars
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Mansfield Town ya England, umemzuia mshambuliaji wake, Adi Yussuf, kujiunga na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwa kile ilichodai ya kuwa nyota huyo ni majeruhi.
Yussuf ni miongoni mwa nyota 29 walioitwa kwenye kikosi cha Stars chini ya Kocha Charles Mkwasa, kitakachojiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 Gabon dhidi ya Nigeria ‘Super Eagles’ Septemba 5, mwaka huu.
Klabu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5OeamyNXtNzyJ6JW2WGZzuV9Ujmo3UGuU1uOeYumP2ZaMLRcGGbo*OwY2cL2635uzjpGai6-eD7WBRxVSjqsM3NJ/PLUIJMKITAMBI.jpg)
Mke wa Pluijm atua Dar, azuiwa kwenda Taifa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Nyota Ligi Kuu England kuivaa Stars
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s72-c/MMGM1084.jpg)
Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFSAOLE0D-A/VDqqTUqZhqI/AAAAAAAGpl0/SWlOON-qJBI/s1600/MMGM1084.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NlUWrOLm_MY/VDqqSciQUQI/AAAAAAAGplo/WDumNWIiiQQ/s1600/MMGM1095.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rw1cH6fb7bA/VDqqSY43IwI/AAAAAAAGpls/oJNT5cTcrZ0/s1600/MMGM1119.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgZ7IQqwkHA/VDqqUA2wFKI/AAAAAAAGpl8/O9cNCzaZok4/s1600/MMGM1140.jpg)
9 years ago
GPL06 Sep
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Taifa stars, Harambee Stars hoi
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Berahino atajwa timu ya taifa England
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9GsToI3NYxcQBMPQwYHOWO2vpyYBC4KxnVYvVsIVIrq4erk7L*1AJRT-Mx6Y*nI3lvc4*SN0wvf3IIc81ao10jt/AdamJohnson_2840300.jpg?width=650)
MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA ENGLAND AKAMATWA NA POLISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLdVSjWu6Dcw1jWqXFC76Nerboat0LhfQEicGZCGe1r7-0wYTTxdqmN0f7aDAcCqVHuKrgy-3afz5Zt6QkSbWy-/Bnb9wUYIIAAcWgR.jpglarge.jpeg?width=600)
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA