MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA ENGLAND AKAMATWA NA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/3DtnypFvu9GsToI3NYxcQBMPQwYHOWO2vpyYBC4KxnVYvVsIVIrq4erk7L*1AJRT-Mx6Y*nI3lvc4*SN0wvf3IIc81ao10jt/AdamJohnson_2840300.jpg?width=650)
Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson. Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15. Polisi katika eneo la Durham wamesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 amekamatwa mapema wiki hii kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 16, na amebaki chini ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Berahino atajwa timu ya taifa England
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mchezaji wa timu ya taifa Honduras auawa kwa risasi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLdVSjWu6Dcw1jWqXFC76Nerboat0LhfQEicGZCGe1r7-0wYTTxdqmN0f7aDAcCqVHuKrgy-3afz5Zt6QkSbWy-/Bnb9wUYIIAAcWgR.jpglarge.jpeg?width=600)
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
10 years ago
VijimamboMCHEZAJI WA ZAMANI WA KMKM NA TIMU YA TAIFA. MCHA KHAMIS AFARIKI DUNIA
Buriani Mchezaji wa Zamani wa timu ya KMKM na Miembeni Zanzibar Mcha Khamis Mcha aliyefarika jana Mjini Dar-es-Salaam akipata matibabu katika hospitali ya Muimbili. kwa mujibu wa habari za ndugu wa karibu wamesema alikuwa akisumbulia na matatizo ya mkojo. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar leo katika bandari ya Malindi saa.6 mchana kwa Boti ya Azam Marine, baada ya kuwasili mwili wa marehemu utapelekwa Kijiji...
9 years ago
Bongo513 Oct
Timu ya taifa ya England yaweka rekodi mechi za kufuzu Euro 2016
9 years ago
Bongo510 Oct
England wafuzu michuano ya Euro 2016 baada ya kuifunga timu ya taifa ya Estonia
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhfuug-gQ1pyqQcoQ**6nyacOrVenjUMX7pkyAgDBHtjdf9CoH0kUktkvsRnca5vFif2-YOZVYiUMyHknDlVT7sk/HAZARD.jpg?width=650)
EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)