Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


England wafuzu michuano ya Euro 2016 baada ya kuifunga timu ya taifa ya Estonia

Timu ya taifa ya England jana ilipata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Estonia katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Ulaya mechi ilichezwa katika uwanja wa Wembley, England. Magoli yalifungwa na Theo Walcott goli la kwanza dakika ya 45 kipindi cha kwanza akipokea pasi kutoka kwa Ross Barkley na Raheem Sterling […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Timu ya taifa ya England yaweka rekodi mechi za kufuzu Euro 2016

Timu ya taifa ya England imemaliza mechi yake ya mwisho ya hatua ya kufuzu michuano ya kombe la Euro 2016 kwa kuingia katika rekodi ya timu zilizomaliza hatua hiyo kwa mafanikio zaidi. England ilipata ushindi huo kupitia wachezaji Ross Barkley dakika ya 29, Harry Kane alifunga la pili huku Alex-Oxlade Chamberlain akipigilia msumari wa mwisho […]

 

9 years ago

BBCSwahili

England kundi moja na Wales Euro 2016

England wamewekwa kwenye kundi moja na Wales kwenye michuano ya taifa bingwa Ulaya itakayoandaliwa Ufaransa mwaka ujao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Je! Unataka kushinda safari ya Paris, kushuhudia michuano ya Eufa Euro 2016? soma hapa!

1966143_w2

Michuano mikubwa kabisa ya soka itakayoikutanisha miamba ya timu za Taifa za Bara la Ulaya itakayomenyana kuwania kombe la Uefa Euro2016, michezo itakayopigwa nchini Ufaransa katika majiji kadhaa ya nchi hiyo  kwa muda wa mwezi mmoja.

Katika hatua hiyo, wewe  na yule unayo nafasi ya kushinda safari ya kwenda katika jiji la Paris kushuhudia ufunguzi wa michuano hiyo ya Uefa Euro 2016, ambapo utapata nafasi ya kulipiwa kila kitu pamoja na kushuhudia shoo kali ya mwanamuziki nguli ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Berahino atajwa timu ya taifa England

Mshambuliaji wa West Bromwich Albion Saido Berahino mwenye asili ya Burundi ametajwa kwenye Kikosi cha timu ya Taifa ya England

 

10 years ago

Dewji Blog

Temeke mabingwa wa Proin Women Taifa Cup mara baada ya kuifunga Pwani katika fainali

Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo, Mh Dkt Femella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi wakati wa fainali ya Mashindano ya Proin Women Taifa Cup yaliyofikia Tamati leo kwa kuzikutanisha Timu za Temeke na Pwani. IMG_1261 Waziri wa habari utamaduni na Michezo, Mh Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi kombe nahodha wa timu ya Temeke mara baada ya kuibuka washindi wa Mashindano ya Proin Women Taifa Cup ambayo yalichezwa katika Dimba la Azam huku Proin...

 

10 years ago

GPL

MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA ENGLAND AKAMATWA NA POLISI

Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson. Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15. Polisi katika eneo la Durham wamesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 amekamatwa mapema wiki hii kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 16, na amebaki chini ya...

 

11 years ago

GPL

WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA

Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akabidhi bendera timu ya taifa ya riadha itayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola huko Glasgow, Scotland

ta6

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa ya riadha inayoondoka kesho Julai 16, 2014 kwenda Glasgow, Scotland, kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola kwenye hafla fupi ya kukabidhi bendera iliyofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kushuhudiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernand Membe, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe Juma Nkamia na wadau wa michezo.(PICHA NA IKULU).

ta1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

 

5 years ago

Africanjam.Com

HIGHLIGHTS: PORTUGAL 1 - 0 FRANCE | EURO 2016 FINAL | Eder Goal, Highlights | 10.07.2016 |




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into service. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani