Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya taifa ya England yaweka rekodi mechi za kufuzu Euro 2016

Timu ya taifa ya England imemaliza mechi yake ya mwisho ya hatua ya kufuzu michuano ya kombe la Euro 2016 kwa kuingia katika rekodi ya timu zilizomaliza hatua hiyo kwa mafanikio zaidi. England ilipata ushindi huo kupitia wachezaji Ross Barkley dakika ya 29, Harry Kane alifunga la pili huku Alex-Oxlade Chamberlain akipigilia msumari wa mwisho […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

England wafuzu michuano ya Euro 2016 baada ya kuifunga timu ya taifa ya Estonia

Timu ya taifa ya England jana ilipata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Estonia katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Ulaya mechi ilichezwa katika uwanja wa Wembley, England. Magoli yalifungwa na Theo Walcott goli la kwanza dakika ya 45 kipindi cha kwanza akipokea pasi kutoka kwa Ross Barkley na Raheem Sterling […]

 

9 years ago

BBCSwahili

England kundi moja na Wales Euro 2016

England wamewekwa kwenye kundi moja na Wales kwenye michuano ya taifa bingwa Ulaya itakayoandaliwa Ufaransa mwaka ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Berahino atajwa timu ya taifa England

Mshambuliaji wa West Bromwich Albion Saido Berahino mwenye asili ya Burundi ametajwa kwenye Kikosi cha timu ya Taifa ya England

 

10 years ago

GPL

MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA ENGLAND AKAMATWA NA POLISI

Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson. Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15. Polisi katika eneo la Durham wamesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 amekamatwa mapema wiki hii kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 16, na amebaki chini ya...

 

11 years ago

GPL

WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA

Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...

 

11 years ago

Michuzi

MAZUNGUMZO KUHUSU MECHI YA MPIRA WA MIGUU KATI YA TWIGA STARS NA TIMU YA TAIFA YA ZAMBIA

 Pichani Balozi Grace MUJUMA  na maafisa wa Ubalozi Mr Jeswald Majuva na Mr Mogosi Munata wakizungumza na viongozi wa timu ya Twiga Stars Bw Ahmed Mgoyi kiongozi wa Msafara na Bw Boniface Wambura walipofika kwenye Ofisi Za Ubalozi wa TANZANIA Lusaka Zambia kabla ya pambano la mpira litakalofanyika Leo Ijumaa tarehe 14.2.2014 kwenye Uwanja wa Nkoloma uliopo jijini Lusaka.mpambano huo unategemewa kuwa mkali kwani pande zote zimeonyesha nia ya kuibuka na ushindi.

 

5 years ago

Africanjam.Com

HIGHLIGHTS: PORTUGAL 1 - 0 FRANCE | EURO 2016 FINAL | Eder Goal, Highlights | 10.07.2016 |




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into service. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za kufuzu fainali za kombe Afrika

Mechi za kufuzu tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Afrika zaendelea

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya na TZ zashinda mechi za kufuzu Kombe la Dunia

Tanzania na Kenya zimeibuka na ushindi mechi zao za kwanza za kufuzu kwa Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani