Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oscar Pistorius asubiri hukumu

Jaji Thokozile Masipa hii leo atatoa hukumu dhidi ya kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha Oscar Pistorius huko Afrika Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HUKUMU YA OSCAR PISTORIUS YAENDELEA

Oscar Pistorius akiwa amesimama ndani ya mahakama jijini Pretoria baada ya Jaji Thokosile Masipa kuwasili kwa ajili ya kusoma hukumu. Oscar Pistorius  akisikiliza hukumu yake.…

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA OSCAR PISTORIUS YAANZA

Oscar Pistorius akiwasili mahakamani jijini Pretoria. KESI inayomkabili mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius (27) ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp inatolewa hukumu leo jijini Pretoria na Jaji Thokosile Masipa. Matundu manne ya risasi zilizopigwa na Pistorius, ambapo tatu kati yake zilimpiga Reeva - mkononi, kichwani na kwenye paja. Tayari hukumu hiyo imeanza kusomwa na Jaji Thokosile Masipa  ikiwa ni baada...

 

10 years ago

CloudsFM

Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu

Msanii wa Hip Hop,Bongo Chid Benz (29), amekiri mashtaka matatu yanayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kukutwa na dawa za kulevya, kifuu cha nazi na kijiko vinavyotumika kuvutia ama kunusa dawa hizo.
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...

 

9 years ago

BBC

What next for Oscar Pistorius?

Why killer athlete set to remain behind bars - for now

 

10 years ago

GPL

MJUE KWA UNDANI JAJI ANAYETOA HUKUMU YA OSCAR ISTORIUS

JAJI Thokozile Matilda Masipa mwenye umri wa miaka 66, alizaliwa Oktoba 15, 1947 Soweto nchini Afrika Kusini na wakati mmoja aliajiriwa kama karani na mpishi wa chai. Jaji Thokozile Matilda Masipa akisoma hukumu ya Pistorius. Kuna kipindi nusura aachane na masomo yake kwa kuwa alidhani hatafanikiwa kwa vyovyote vile licha ya masomo aliyokuwa anachukua. Lakini mama yake aliendelea kumpa motisha ya kuendelea na masomo yake....

 

10 years ago

BBC

Oscar Pistorius 'has no money'

The sentencing hearing of Oscar Pistorius hears the athlete has no money left after the seven-month trial.

 

10 years ago

BBC

The making and unmaking of Oscar Pistorius

The making and unmaking of Oscar Pistorius

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius akana mashitaka

Siku ya kwanza ya kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imekamilika nchini Afrika Kusini. Pistorius amaka kumuua mpenzi wake marehemu Reeva Steenkamp

 

11 years ago

BBC

Oscar Pistorius to sell his home

South African Paralympic athlete Oscar Pistorius is to sell his house in order to fund the legal costs of his murder trial, his lawyer says.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani