Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwafaka Rwanda, DRC wakaribia

MGOGORO wa kidiplomasia kati ya nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, unaelekea ukingoni baada ya kikundi cha wapiganaji cha FDLR kukubali kuweka silaha chini kwa hiyari yao. Kikundi hicho kilipeleka barua rasmi katika Mkutano wa Kimataifa wa Pili wa Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), uliomalizika juzi Luanda nchini Angola, kuelezea nia yao ya kuweka silaha chini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya DRC na Rwanda yakabiliana

Maafisa wa serikali ya DRC wanasema majeshi yao yamekabiliana na majeshi ya Rwanda Mashariki mwa Congo.

 

11 years ago

BBCSwahili

DRC na Rwanda zapigana kwa siku ya 2

Mapigano yameendelea kwa siku ya pili kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na wale kutoka Rwanda kwenye mpaka wa nchi hizo mbili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuingia DRC

Msemaji wa Serikali ya DRC amesema kuwa wanajeshi wa Rwanda wameonekana nchini humo katika hifadhi ya Wanyama ya Virunga

 

11 years ago

BBCSwahili

DRC yailaumu Rwanda kuwalinda M23

Serikali ya DR Congo imeilaumu Rwanda kwa kuwalinda wapiganaji wa M23.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jumuia yatoa ripoti kuhusu DRC na Rwanda

Wachunguzi kutoka jumuiya ya mataifa ya eneo la maziwa makuu wamechapisha ripoti kuhusu mapigano kati ya DRC na Rwanda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC

Rais wa Rwanda Paul Kagame amevishutumu vikosi vya Burundi kuendesha mapigano mashariki mawa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku akipinga madai kuwa wanajeshi wa Rwanda wako katika eneo hilo pia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mradi wa Suez wakaribia kufunguliwa

Njia ya pili ya Mfereji wa Suez itakuwa tayari Agosti - mradi kipenzi wa Rais al-Sisi

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi Ubumu wakaribia kutua mzigo’

WANANCHI wa Kata ya Ibumu, Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa wamesema wanakaribia kutua mzigo na kupunguza uchovu walionao unaosababishwa na utawala dhalimu wa kiimla waliokuwa wakitawaliwa katani humo. Wananchi hao...

 

10 years ago

Mtanzania

Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba

simbaNa Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani