Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC
Rais wa Rwanda Paul Kagame amevishutumu vikosi vya Burundi kuendesha mapigano mashariki mawa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku akipinga madai kuwa wanajeshi wa Rwanda wako katika eneo hilo pia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AONANA NA MJUMBE MAALUMU WA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA NA MABALOZI WA USWISI NA KUWAIT
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eU7F0ZEACgM/U0YqTvDRcoI/AAAAAAACehU/iCIbfdBM4LA/s72-c/Attachment-1.jpeg)
KINANA AKUTANA NA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA MJINI KIGALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eU7F0ZEACgM/U0YqTvDRcoI/AAAAAAACehU/iCIbfdBM4LA/s1600/Attachment-1.jpeg)
Picha na Edward J. Mpogolo,
wa ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame
Rwanda ni nchi ambayo ina watu zaidi ya milioni kumi ambapo moja kati ya sababu zilizofanya Rwanda wamkubali zaidi na hata kumpa kura nyingi za ndio kwenye mchakato wa kubadili utaratibu wa Rais kugombea Mihula zaidi ya miwili. Rais Kagame aliwahi kugawa Ng’ombe kwa Wananchi mbalimbali ili wajikwamue kwenye umasikini, bonyeza play hapa chini kuzipata sababu […]
The post Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
TheCitizen08 Nov
Rwanda’s Kagame accuses Burundi leaders of ‘massacres’ against citizens
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO MACHI
Akizungumza katika kikao maalum na wakuu wa vikosi,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili kiweze kupambana na majanga hapa...
11 years ago
Bongo508 Jul
Picha: Davido apokewa na Rais Kagame na familia yake alipowasili uwanja wa ndege, Rwanda
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
UN:itapunguza vikosi vyake DRC