UN:itapunguza vikosi vyake DRC
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limepitisha azimio la kupunguza vikosi vyake vilivyoko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo -DRC-
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC
Rais wa Rwanda Paul Kagame amevishutumu vikosi vya Burundi kuendesha mapigano mashariki mawa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku akipinga madai kuwa wanajeshi wa Rwanda wako katika eneo hilo pia.
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Faini itapunguza uenezaji wa habari za uongo kuhusu Covid19?
Wakenya wako kwenye hatari ya kutozwa faini ya dola elfu 50 au kifungo cha miaka miwili iwapo watachapisha habari za uongo kuhusu mlipuko wa virusi vya korona
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Vikosi vyapambana na Al Shabaab Somalia
Makabiliano makali yanaendelea kati ya wanajeshi wa AMISOM na wapiganaji wa Al Shabaab katika eneo la hoteli ya wanajeshi hao
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Marekani yapeleka vikosi Cameroon
Rais wa Marekani, Barack Obama ametangaza kuwa vikosi vya marekani vyenye silaha vimepelekwa Cameroon
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Obama kuongeza vikosi Iraq
Rais Barack Obama wa Marekani ameidhinisha kupelekwa vikosi vya wanajeshi wapatao 350 Iraq.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6bKGt3yZ0C9BFsTciWMv*eizMHfqQZ*KHInUyjXJ2VlN5tt4BXqPsavplTWHvbLIpWL7G6URVPu0xtYmUGNFAi/1.jpg)
Maximo atangaza vikosi 2 Yanga
Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, anaendelea kuiandaa timu yake kwa ajili ya msimu mpya, lakini ameamua kutengeneza vikosi viwili. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, Ingawa amekuwa akifanya siri, katika mazoezi ya Yanga, Maximo ameamua kutengeneza vikosi viwili ambavyo vitaifanya Yanga kuwa na uhakika kwa msimu mzima. “Kocha amefanya uchunguzi wa kila kitu ikiwa ni pamoja na kuangalia wachezaji wa...
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Marekani kutuma vikosi maalum Syria
Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikosi vya Iraq vyawakabili wapiganaji
Wanajeshi wa serikali ya Iraq wanasema kuwa wamelikabili shambulizi moja la wanamgambo katika kiwanda kikuu cha mafuta.
10 years ago
GPLVIKOSI VYA LEO SIMBA VS YANGA
Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Simba SC. KIKOSI CHA YANGA SC 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 3
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Mbuyu Twite - 6
7. Hassan Dilunga - 26
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Geilson Santana "Jaja" - 9
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Andrey Coutinho - 7
Subs:
1.… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania