Waasia 2 kortini njama za kuteka nyara
WATU wawili wenye asili ya bara la Asia, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kupanga njama za kuteka nyara.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Mar
Waasia kortini kwa njama za kuteka Dar
WATU wawili wenye asili ya bara la Asia, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kupanga njama za kuteka nyara. Washitakiwa waliofikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi, Devotha Kisoka ni Adili Yusuph (24) na Mahul Kava (24).
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali
OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Wapalestina wanashukiwa kuua na kuteka
10 years ago
Habarileo06 Mar
Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa
KESI ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWxtJu7DQkSvhmzVDOc-ASnk8MMOcu9X*3hbEuDG38GMPH7j0qS2xjvKQ2HB2GYIjsLDCKa-EZVEK59B4jd3a7d/Utekaji1.jpg?width=650)
MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda
11 years ago
BBCSwahili05 May
Boko Haram wakiri kuteka wasichana
10 years ago
Habarileo16 Oct
Kova akanusha Noah kuteka watoto
WAKATI hofu juu ya usalama wa watoto katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikizidi kutanda miongoni mwa wazazi na walezi, Polisi imekanusha kuwapo kwa matukio ya utekaji nyara watoto wanaosoma shule za msingi na kufanyiwa unyama ukiwamo ulawiti, kuuawa na hata kuchunwa ngozi.