Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya

Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waethiopia 100 wakamatwa Kenya

Wahamiaji haramu 100 kutoka Ethiopia wamekamatwa mjini Nairobi

 

10 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.

 

10 years ago

GPL

WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA

Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana wawaua 4 mjini Mombasa Kenya

Watu wanne wameuawa kwa kudungwa visu na vijana waliokuwa wamejihami mjini Mombasa Pwani ya Kenya baada ya polisi kufanya msako miskitini mjini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

15 wakamatwa kwa mauaji Mombasa

Polisi mjini Mombasa wamewakamata watu 15 kuhusiana na mauaji ya watu wanne usiku mjini humo kwa kuwadunga visu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waethiopia 100 wakamatwa Pwani

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia raia 100 wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali katika matukio mawili tofauti. Wahamiaji hao haramu walikamatwa saa 10:00 asubuhi Februari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wadhibiti ulinzi mjini Mombasa

Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya kuhakikisha utulivu baada ya vurugu na msako wa polisi misikitini

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana Mombasa, Kenya

Zaidi ya vijana 100 kutoka Mombasa wanaodhaniwa kuhamia nchini Somalia kujiunga na kikundi cha Al Shabaab, hawajulikani walipo.

 

11 years ago

BBC

Gunmen in Kenya kill four in Mombasa

Two gunmen kill at least four people and injure several others in a shooting rampage in the Kenyan coastal city of Mombasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani