Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wadhibiti ulinzi mjini Mombasa

Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya kuhakikisha utulivu baada ya vurugu na msako wa polisi misikitini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wadhibiti ulinzi wa Bentiu

Waasi nchini Sudan Kusini wameanza harakati za kuulinda vikali mji wa Bentiu ambao waliutwaa kutoka kwa serikali wakihofia majeshi ya Serikali kuupigania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wadhibiti ulinzi Kenya

Maafisa wa usalama nchini Kenya wamedhibiti ulinzi baada ya kunasa silaha nzito kutoka kwa watu wanaoshukiwa kuwa magaidi mjini Mombasa Pwani ya Kenya

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wadhibiti maandamano

 Jeshi la Polisi mkoani Arusha, limezima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana baada ya askari wake wa miguu na magari ya maji ya kuwasha kutanda mitaani, huku chama hicho kikidai kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Polisi wadhibiti vurugu viwanjani

Siku zote Watanzania tunafahamu kuwa soka ni mchezo unaopendwa na mashabiki wengi siyo katika ardhi yetu pekee bali kote ulimwenguni.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wadhibiti majambazi ndani ya baa iliyojaa

MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilayani Simanjiro, Jackos Sipitek pamoja na madiwani wawili wa viti maalumu wamenusurika katika shambulio la majambazi kutaka kuwadhuru polisi kwenye baa ya Pama iliyopo makao mapya jijini Arusha.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP David Misime akitoa elimu katika mkutano huo.Balozi Mstaafu Job Lusinde Mwenyekiti wa Baraza la wazee Mkoa wa Dodoma akiongea jambo.Padre Thomas V. Lali Katibu Mkuu jimbo kuu Dodoma akizungumza katika mkutano huo.
Sheke AHMAD SAID akizungumza katika mkutano huo.
  Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya

Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana wawaua 4 mjini Mombasa Kenya

Watu wanne wameuawa kwa kudungwa visu na vijana waliokuwa wamejihami mjini Mombasa Pwani ya Kenya baada ya polisi kufanya msako miskitini mjini humo.

 

10 years ago

GPL

WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA

Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani