Polisi wadhibiti ulinzi mjini Mombasa
Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya kuhakikisha utulivu baada ya vurugu na msako wa polisi misikitini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Waasi wadhibiti ulinzi wa Bentiu
Waasi nchini Sudan Kusini wameanza harakati za kuulinda vikali mji wa Bentiu ambao waliutwaa kutoka kwa serikali wakihofia majeshi ya Serikali kuupigania.
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Maafisa wadhibiti ulinzi Kenya
Maafisa wa usalama nchini Kenya wamedhibiti ulinzi baada ya kunasa silaha nzito kutoka kwa watu wanaoshukiwa kuwa magaidi mjini Mombasa Pwani ya Kenya
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Polisi wadhibiti maandamano
 Jeshi la Polisi mkoani Arusha, limezima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana baada ya askari wake wa miguu na magari ya maji ya kuwasha kutanda mitaani, huku chama hicho kikidai kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
TFF, Polisi wadhibiti vurugu viwanjani
Siku zote Watanzania tunafahamu kuwa soka ni mchezo unaopendwa na mashabiki wengi siyo katika ardhi yetu pekee bali kote ulimwenguni.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Polisi wadhibiti majambazi ndani ya baa iliyojaa
MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilayani Simanjiro, Jackos Sipitek pamoja na madiwani wawili wa viti maalumu wamenusurika katika shambulio la majambazi kutaka kuwadhuru polisi kwenye baa ya Pama iliyopo makao mapya jijini Arusha.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-He6qpWS2SFg/VVSa0RogBqI/AAAAAAAHXSE/H8y9ftjHeQw/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-He6qpWS2SFg/VVSa0RogBqI/AAAAAAAHXSE/H8y9ftjHeQw/s640/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kCbB-KJM40/VVSa3pdcjOI/AAAAAAAHXSU/CpL0_3lU44Q/s640/Balozi%2BMstaafu%2BJOB%2BLUSINDE%2BMwenyekiti%2Bwa%2BBaraza%2Bla%2Bwazee%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2B%2Bakiongea%2Bjambo..png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vf9oZK8XJ7U/VVSa17NFX7I/AAAAAAAHXSM/WMxkPK9i8rg/s640/Padre%2BTHOMAS%2BV.%2BLALI%2BKatibu%2BMkuu%2Bjimbo%2Bkuu%2BDodoma%2Bakizungumza%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo..png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m6IL4Qo79Bk/VVSa79KC3iI/AAAAAAAHXSc/qASL81mIyuI/s640/Sheke%2BAHMAD%2BSAID%2Bakizungumza%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha...
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya
Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Vijana wawaua 4 mjini Mombasa Kenya
Watu wanne wameuawa kwa kudungwa visu na vijana waliokuwa wamejihami mjini Mombasa Pwani ya Kenya baada ya polisi kufanya msako miskitini mjini humo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YskyMbZdInhplXf8OytOrwORi4tSkdXuPucTANLGcd3-gGu-rrxOFun4A4qKxptkyYUKdDzhR8zaiGaigo00KE/mombasa.jpg?width=650)
WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA
Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania