Vijana wawaua 4 mjini Mombasa Kenya
Watu wanne wameuawa kwa kudungwa visu na vijana waliokuwa wamejihami mjini Mombasa Pwani ya Kenya baada ya polisi kufanya msako miskitini mjini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Vijana Mombasa, Kenya
Zaidi ya vijana 100 kutoka Mombasa wanaodhaniwa kuhamia nchini Somalia kujiunga na kikundi cha Al Shabaab, hawajulikani walipo.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya
Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YskyMbZdInhplXf8OytOrwORi4tSkdXuPucTANLGcd3-gGu-rrxOFun4A4qKxptkyYUKdDzhR8zaiGaigo00KE/mombasa.jpg?width=650)
WANNE WAUAWA MJINI MOMBASA, KENYA
Vijana mjini Mombasa, Kenya. WATU wanne wameuawa kwa kuchomwa visu na vijana waliokuwa na silaha mjini Mombasa Pwani ya Kenya. Watu kadhaa pia walijeruhiwa katika shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo kwenye vituo vya basi Kisauni.
Mwandishi wa BBC mjini humo Emmanuel Igunza amesema hali ya wasiwasi imetanda Mombasa huku maafisa wa polisi wakipiga doria mitaani. Walioshuhudia mashambulio hayo wanasema vijana waliokuwa...
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Polisi wadhibiti ulinzi mjini Mombasa
Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya kuhakikisha utulivu baada ya vurugu na msako wa polisi misikitini
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76405000/jpg/_76405779_3439a734-dbca-46a0-bb38-348212547c49.jpg)
Gunmen in Kenya kill four in Mombasa
Two gunmen kill at least four people and injure several others in a shooting rampage in the Kenyan coastal city of Mombasa.
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya
Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg2AkSr8QP72kgiZv*z-MHlyenGPye*NqR11Wj1-SFZsyY8QSdYU84ZGYlCtqqKLn9FSrLbil0Asggzp9HGFIEyG/VURUGUMOMBASA12.jpg?width=650)
TASWIRA ZA VURUGU KATI YA POLISI NA VIJANA WALIOKUTWA MSIKITI WA MUSA , MOMBASA
Baadhi ya vijana waliokamatwa katika vurugu hizo wakiwa chini ya ulinzi.…
9 years ago
Vijimambo13 Oct
VIJANA KUTOKA MIKOA MBALIMBALI WASHIRIKI MDAHALO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA
![10](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/1021.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/2109.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Kambi ya jeshi yavamiwa Mombasa,Kenya
Wanajeshi katika kambi ya jeshi ya Nyali iliopo mjini Mombasa pwani ya Kenya wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 5
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania