Waethiopia 100 wakamatwa Kenya
Wahamiaji haramu 100 kutoka Ethiopia wamekamatwa mjini Nairobi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Waethiopia 100 wakamatwa Pwani
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia raia 100 wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali katika matukio mawili tofauti. Wahamiaji hao haramu walikamatwa saa 10:00 asubuhi Februari...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Waethiopia 100 wahukumiwa kuwa Kenya
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Waethiopia 11 wakamatwa Pwani
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu 11 wanaodaiwa kuwa raia wa Ethiophia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sharia. Waethiophia hao walikamatwa juzi, saa tisa usiku, katika kijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-icBEOb4U51k/U_iKGrUwggI/AAAAAAAGBys/GppP3ngcNtQ/s72-c/image061.jpg)
WAETHIOPIA 48 WAKAMATWA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-icBEOb4U51k/U_iKGrUwggI/AAAAAAAGBys/GppP3ngcNtQ/s1600/image061.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia raia 48 wa nchi ya Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha Kaimu kamanda wa Polisi mkoani humo, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa alisema kuwa watuhumiwa hao walitelekezwa vichakani.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 21 mwaka huu majira ya saa 7 usiku katika Kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya...
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
2 wakamatwa na maguruneti Kenya
10 years ago
Habarileo30 Jun
Walimu Watanzania wakamatwa Kenya
WALIMU wawili wapya wa Shule ya Msingi Sang’ang’a kata ya Pemba tarafa ya Inchugu wilayani Tarime, mkoani Mara wanashikiliwa nchini Kenya kwa kosa la kuingia nchini humo bila kuwa na kibali.
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya