Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waethiopia 100 wakamatwa Kenya

Wahamiaji haramu 100 kutoka Ethiopia wamekamatwa mjini Nairobi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waethiopia 100 wakamatwa Pwani

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia raia 100 wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini bila kibali katika matukio mawili tofauti. Wahamiaji hao haramu walikamatwa saa 10:00 asubuhi Februari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waethiopia 100 wahukumiwa kuwa Kenya

Raia mia moja wa Ethiopia hii leo wamehukumiwa kifungo cha miezi kumi na mbili gerezani nchini Kenya au walipe faini ya takriban dola 600

 

11 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya

Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.

 

10 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waethiopia 11 wakamatwa Pwani

JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu 11 wanaodaiwa kuwa raia wa Ethiophia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sharia. Waethiophia hao walikamatwa juzi, saa tisa usiku, katika kijiji...

 

10 years ago

Michuzi

WAETHIOPIA 48 WAKAMATWA MKOANI PWANI

Na John Gagarini, Kibaha
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia raia 48 wa nchi ya Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha Kaimu kamanda wa Polisi mkoani humo, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa alisema kuwa watuhumiwa hao walitelekezwa vichakani.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 21 mwaka huu majira ya saa 7 usiku katika Kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

2 wakamatwa na maguruneti Kenya

Polisi wanasema kuwa wawili hao mtu na mkewe waliwauzia vijana maguruneti waliyotumia kwa mashambulizi mjini Mombasa karibu wiki 2 zilizopita

 

10 years ago

Habarileo

Walimu Watanzania wakamatwa Kenya

WALIMU wawili wapya wa Shule ya Msingi Sang’ang’a kata ya Pemba tarafa ya Inchugu wilayani Tarime, mkoani Mara wanashikiliwa nchini Kenya kwa kosa la kuingia nchini humo bila kuwa na kibali.

 

11 years ago

BBCSwahili

200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya

Polisi nchini kenya wamewakamata zaidi ya watu 200 kufuatia mashambulizi ya hapo jana jijni Nairobi ambapo watu 6 waliuawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani