2 wakamatwa na maguruneti Kenya
Polisi wanasema kuwa wawili hao mtu na mkewe waliwauzia vijana maguruneti waliyotumia kwa mashambulizi mjini Mombasa karibu wiki 2 zilizopita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jun
Walimu Watanzania wakamatwa Kenya
WALIMU wawili wapya wa Shule ya Msingi Sang’ang’a kata ya Pemba tarafa ya Inchugu wilayani Tarime, mkoani Mara wanashikiliwa nchini Kenya kwa kosa la kuingia nchini humo bila kuwa na kibali.
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya
Polisi nchini kenya wamewakamata zaidi ya watu 200 kufuatia mashambulizi ya hapo jana jijni Nairobi ambapo watu 6 waliuawa.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya
Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.
10 years ago
GPLSHAMBULIO LA MAGURUNETI LAUA WATATU BUJUMBURA
Shambulio mjini Bujumbura. Watu watatu wameripotiwa kuuawa kwa shambulizi la guruneti jijini Bujumbura. Polisi nchini Burundi wamesema kuwa, watu wasiojulikana jana walivurumisha maguruneti mawili katika duka moja jijini Bujumbura na kupelekea watu watatu kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa. Jenerali Godefroid Bizimana naibu kamanda mkuu wa polisi nchini Burundi amesema kuwa, Polisi wameimarisha ulinzi na usalama wa eneo...
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Zaidi ya watu elfu nne wakamatwa Kenya
Serikali ya Kenya imesema kwa sasa inawashikilia zaidi ya watu elfu nne kufuatia operesheni usalama mjini Nairobi
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania