Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Wafanyakazi wa basi moja waliotuhumiwa kwa kumnyanyasa kimapenzi mwanamke wanakabiliwa na hukumu ya kifo baada ya kushitakiwa kwa kosa la wizi wa mabavu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi amvua mwanamke nguo Kenya

Afisa mmoja wa polisi wa utawala nchini Kenya ni miongoni mwa wanaume waliokamatwa kwa kujaribu kumvua nguo mwanamke katika mtaa wa Komarock viungani mwa mji mkuu Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waethiopia 100 wakamatwa Kenya

Wahamiaji haramu 100 kutoka Ethiopia wamekamatwa mjini Nairobi

 

11 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa mjini Mombasa, Kenya

Watu 100 wamekamatwa mjini Mombasa Pwani ya Kenya kufuatia shambulizi lililofanywa ndani ya kanisa moja mjini humo na kuwaua watu 4.

 

10 years ago

GPL

MABOSI LAKE OIL WADAIWA KUMVUA NGUO MFANYAKAZI

Mfanyakazi wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil, Deocres Deus Ruta (32) anayedai kunyanyanswa na mabosi zake. Stori:Makongoro Oging’
Baadhi ya vigogo wa kampuni ya mafuta ya Lake Oil wanadaiwa kumvua nguo mfanyakazi wao Deocres Deus Ruta (32) (pichani)ambaye ni dereva wao pia vijana wawili ambao siyo wafanyakazi wa kampuni hiyo. Akizungumza katika ofisi za gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita Ruta alidai kwamba Desemba...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamke anayeendesha maisha kwa kufua nguo NYumbani

Kati ya wanawake ambao wanaamini kuwa mafanikio hayaji bila kujituma kwa kufanya kazi kwa bidii ni Salome Sanga (58).

 

11 years ago

CloudsFM

WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO

Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.

Kamanda Kiondo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa wanaowavua wanawake nguo Kenya

Polisi nchini Kenya wametangaza kuanzisha kikosi maalum ya kuwasaka wanaume watakaohusika na vitendo vya kuwavua wanawake nguo hadharani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliwa kwa kuvaa nguo fupi Kenya

Kikundi cha wasichana kilinusurika kuvuliwa nguo na wachuuzi mjini Kapsabet Magharibi mwa Kenya kwa kuvaa nguo zisizo za heshima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani