Mwanamke anayeendesha maisha kwa kufua nguo NYumbani
Kati ya wanawake ambao wanaamini kuwa mafanikio hayaji bila kujituma kwa kufanya kazi kwa bidii ni Salome Sanga (58).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Mkenya anayeendesha maisha kwa kutegemea urefu wa kucha
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
TUKIO:Wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema
Nyumbani kwa muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi.
Wema akiwa ndani
Kwamujibu wa Bongo5 ambao walizungumza jana na jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya saa 5 asubuhi mpaka saa 9 jioni.
“Waliopigwa na kulazwa chini uchi wa mnyama ni mafundi ambao wanakujaga kila siku kumtengenezea Wema nyumba...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
10 years ago
Bongo507 Dec
Watu 2 wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema, ni mafundi wake waliodaiwa kuiba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9nMo*2PoeNvM8ZMrvgOVQ*bsnVi2subCuT*CnadrrkQ*ry46A8P8HFbibwnjYZwC3WSMmnYhXl6QNoF2QZCvrCP/IMG20150113WA0015.jpg?width=650)
MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Ujasiri ulivyotengeneza maisha ya ushindi kwa mama wa nyumbani
Meneja Mauzo wa Serengeti Breweries Ltd Mkoa wa Morogoro Bw.Moses Bartazary (mwenye kofia) akikabidhi Funguo ya Bajaj Limo yenye uwezo wa kubeba abiria saba kwa mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti Bi Rukia Almas ambaye ni mkazi wa Kihonda na mfanyakazi katika Bar ya Kambarage iliyopo manispaa ya Morogoro.
Kwa miaka kadhaa, Rukia Almasi, mkazi wa Morogoro amekuwa akizongwa na uvumi kwamba kushiriki promosheni za bahati nasibu ni kupoteza muda, na kwamba ushindi...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia!
Miezi kadhaa iliyopita, Chris Brown aliziandika headlines baada ya taarifa kusambaa kuwa kuna mwanamke alivamia nyumba yake na kujikaribisha mpka ndani pamoja na kuchora kuta za nyumba za staa huyo na maandishi yaliyosema ‘I Love You Chris’… hiyo ilikuwa miezi saba iliyopita, kuna nyingine mpya inayofanana na hiyo pia! Siku ya jumanne tarehe 22 December […]
The post Nyumbani kwa Chris Brown kuna nini?!.. Nyingine ya mwanamke kuvamia nyumba yake imenifikia! appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Polisi amvua mwanamke nguo Kenya