Polisi amvua mwanamke nguo Kenya
Afisa mmoja wa polisi wa utawala nchini Kenya ni miongoni mwa wanaume waliokamatwa kwa kujaribu kumvua nguo mwanamke katika mtaa wa Komarock viungani mwa mji mkuu Nairobi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
Wafanyakazi wa basi moja waliotuhumiwa kwa kumnyanyasa kimapenzi mwanamke wanakabiliwa na hukumu ya kifo baada ya kushitakiwa kwa kosa la wizi wa mabavu.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.
5 years ago
CCM Blog10 years ago
Mwananchi25 Jan
Mwanamke anayeendesha maisha kwa kufua nguo NYumbani
Kati ya wanawake ambao wanaamini kuwa mafanikio hayaji bila kujituma kwa kufanya kazi kwa bidii ni Salome Sanga (58).
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Wapinga 'kuvuliwa' nguo Kenya
Wanawake mjini Nairobi leo wameandamana kupinga kitendo cha mwanamke mmoja kuvuliwa nguo kwa madai kuwa alikuwa amevalia sketi fupi sana.
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Onyo kwa wanaowavua wanawake nguo Kenya
Polisi nchini Kenya wametangaza kuanzisha kikosi maalum ya kuwasaka wanaume watakaohusika na vitendo vya kuwavua wanawake nguo hadharani.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya
Mbunge mmoja mwanamke nchini Kenya sasa amejitokeza na kudai kwamba wabunge watatu wanaume walijaribu kumvua nguo.
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Washambuliwa kwa kuvaa nguo fupi Kenya
Kikundi cha wasichana kilinusurika kuvuliwa nguo na wachuuzi mjini Kapsabet Magharibi mwa Kenya kwa kuvaa nguo zisizo za heshima.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Mwanamke wa UAE aishtaki Kenya
Mwanamke raia wa UAE ameishtaki serikali ya Kenya akidai alitekwa nyara na polisi, akapelekwa Somalia na Ethiopia, na kuteswa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania