Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke wa UAE aishtaki Kenya

Mwanamke raia wa UAE ameishtaki serikali ya Kenya akidai alitekwa nyara na polisi, akapelekwa Somalia na Ethiopia, na kuteswa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

UAE woman sues Kenya over 'rendition'

A United Arab Emirates (UAE) woman is suing the Kenyan authorities, saying she was kidnapped by police, and then taken to Somalia and Ethiopia, where she says she was tortured.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi amvua mwanamke nguo Kenya

Afisa mmoja wa polisi wa utawala nchini Kenya ni miongoni mwa wanaume waliokamatwa kwa kujaribu kumvua nguo mwanamke katika mtaa wa Komarock viungani mwa mji mkuu Nairobi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyetekwa nyara Kenya aokolewa

Mwanamke aliyetekwa nyara katika eneo la Dadaab, kaskazini mashariki mwa Kenya siku chache zilizopita ameokolewa na wanajeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kasisi basha aishtaki kanisa kumbagua

Kasisi aliyenyimwa leseni ya kufanya kazi katika zahanati ya afya kwa misingi ya kuwa katika ndoa ya jinsia moja ameishtaki kanisa

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Paul Walker aishtaki Porsche

Mwanawe marehemu msanii nguli wa 'Fast and Furious' Paul Walker ameishtaki kampuni ya kutengeneza magari ya Porsche kwa ajali iliyomuua babake

 

10 years ago

BBCSwahili

Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Wafanyakazi wa basi moja waliotuhumiwa kwa kumnyanyasa kimapenzi mwanamke wanakabiliwa na hukumu ya kifo baada ya kushitakiwa kwa kosa la wizi wa mabavu.

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Paul Walker aishtaki kampuni ya Porsche

Mtoto wa kike wa Paul Walker anaishtaki kampuni ya Porsche, kwa kudai kuwa gari hilo la michezo lililomuua baba yake miaka miwili iliyopita lilikuwa na kasoro za utengenezaji. Mashtaka hayo yaliyowasilishwa Jumatatu hii na Meadow Rain Walker yanataka kulipwa kwa hasara ambazo hazijatajwa kwa makosa ambayo wanasheria wake wanadai yalimfanya muigizaji huyo kunaswa kwenye gari […]

 

10 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke Mtanzania 'adaka' Kenya kwa 'unga’

MWANAMKE raia wa Tanzania, Joyce Mhonja Mosendi (38) anashikiliwa na Polisi kituo cha Isebania Wilaya ya Kurya West nchini Kenya akituhumiwa kukutwa na unga uliokuwa umepakiwa katika pakiti zaidi ya kumi na kuwekwa kwenye ndoo ya plastiki uliovushwa kwa pikipiki kuingia nchini humo kutoka Sirari, upande wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani