Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kasisi basha aishtaki kanisa kumbagua

Kasisi aliyenyimwa leseni ya kufanya kazi katika zahanati ya afya kwa misingi ya kuwa katika ndoa ya jinsia moja ameishtaki kanisa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi Newala wasema kumbagua mtoto wa kike kielimu ni ukatili

Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.

Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.

IMG_01821

 

Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nachitulo akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nachitulo akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Nachitulo walioshiriki katika mjadala wakiwa katika picha ya pamoja.

Baadhi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa UAE aishtaki Kenya

Mwanamke raia wa UAE ameishtaki serikali ya Kenya akidai alitekwa nyara na polisi, akapelekwa Somalia na Ethiopia, na kuteswa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Paul Walker aishtaki Porsche

Mwanawe marehemu msanii nguli wa 'Fast and Furious' Paul Walker ameishtaki kampuni ya kutengeneza magari ya Porsche kwa ajali iliyomuua babake

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Paul Walker aishtaki kampuni ya Porsche

Mtoto wa kike wa Paul Walker anaishtaki kampuni ya Porsche, kwa kudai kuwa gari hilo la michezo lililomuua baba yake miaka miwili iliyopita lilikuwa na kasoro za utengenezaji. Mashtaka hayo yaliyowasilishwa Jumatatu hii na Meadow Rain Walker yanataka kulipwa kwa hasara ambazo hazijatajwa kwa makosa ambayo wanasheria wake wanadai yalimfanya muigizaji huyo kunaswa kwenye gari […]

 

9 years ago

Bongo5

Rita Ora aishtaki label ya Jay Z, Roc Nation

rita_ora_dec12_v_2nov12_mag_b

Rita Ora ameishtaki label ya Jay Z, Roc Nation.

rita_ora_dec12_v_2nov12_mag_b

Ni baada ya miaka mingi kushindwa kuachia album yake nchini Marekani akiwa chini ya label hiyo.

Rita amedai kuwa alikuwa amebaki kama mtoto yatima baada ya label hiyo kuamua kuwekeza kwenye michezo na biashara zingine.

“When Rita signed, Roc Nation and its senior executives were very involved with her as an artist,” malalamiko yake yanasema.

“As Roc Nation’s interests diversified, there were fewer resources available and the company suffered...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki kutokana na Ebola

Kasisi mmoja Muhispania aliyeambukizwa Ebola, Magharibi mwa Afrika , amefariki kutokana na homa hiyo hospitalini mjini Madrid.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasisi akiri kulawiti watoto UK

Kasisi mwenye umri wa miaka 85 nchini Uingereza amekiri kosa la kulawiti watoto wengi wavulana na kuwaharibu wengine wengi wasichana

 

10 years ago

BBCSwahili

Kasisi wa kwanza mwanamke kuapishwa UK

Kanisa mmoja nchini Uingereza hii leo litamuapisha mwanamke wa kwanza kuwa kasisi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kasisi afariki na maambukizi ya corona

Padre Giuseppe Berardelli afariki kutokana na virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani