Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto wa Paul Walker aishtaki kampuni ya Porsche

Mtoto wa kike wa Paul Walker anaishtaki kampuni ya Porsche, kwa kudai kuwa gari hilo la michezo lililomuua baba yake miaka miwili iliyopita lilikuwa na kasoro za utengenezaji. Mashtaka hayo yaliyowasilishwa Jumatatu hii na Meadow Rain Walker yanataka kulipwa kwa hasara ambazo hazijatajwa kwa makosa ambayo wanasheria wake wanadai yalimfanya muigizaji huyo kunaswa kwenye gari […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Paul Walker aishtaki Porsche

Mwanawe marehemu msanii nguli wa 'Fast and Furious' Paul Walker ameishtaki kampuni ya kutengeneza magari ya Porsche kwa ajali iliyomuua babake

 

9 years ago

Bongo5

Baba yake Paul Walker naye awashtaki Porsche kwa kifo cha mwanae

Paul-Walker

Baba yake na Paul Walker Jumatano hii amewasilisha mashtaka dhidi ya kampuni ya magari ya Porsche akidai kuwa gari ambalo mwanae alikuwa akiendesha lilikosa vitu vya kiusalama ambavyo vingeweza kuokoa maisha yake.

Paul-Walker

Muigizaji huyo wa Fast & Furious alifariki November 2013 kwenye ajali mbaya ya gari huko Santa Clarita, Calif., iliyomuua pia rafiki yake Roger Rodas, dereva wa gari aina ya 2005 Porsche Carrera GT.

Mashtaka hayo ni kama yale yaliyowasilishwa na mtoto wa Meadow, ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Paul Walker aingia orodha ya matajiri marehemu

Mwigizaji nyota wa Fast & Furious Paul Walker ameingia kwenye orodha ya Forbes ya wasanii marehemu wanaopata pesa nyingi zaidi.

 

10 years ago

Mtanzania

Wimbo wa Wiz Khalifa wawaliza mashabiki wa Paul Walker

Wiz-KhalifaWIMBO wa ‘See You Again’ ulioimbwa na wasanii mashuhuri, Wiz Khalifa na Charlie Puth, uliwaliza mashabiki wengi wa aliyekuwa mcheza filamu, Paul Walker, kutokana na maneno ya maombolezo pamoja na vipande vinavyomuonyesha mwigizaji huyo akiwa katika matukio mbalimbali katika filamu ya mwendelezo ya ‘Fast & the Furious franchise’.

Muongozaji wa video hiyo, James Wan, aliandika kupitia mtandao wa kijamii namna aambavyo walikuwa na fikra kabla Paulo Walker hajafariki katika ajali ya...

 

10 years ago

Africanjam.Com

HOW "FAST & FURIOUS 7" COMPLETED UNFINISHED PAUL WALKER'S SCENES


Halfway through the filming of “Furious 7,” – currently a box office hit in cinemas world wide –Paul Walker tragically passed away in a car accident. His unfinished scenes were left in the hanging, with the directors left with the decision to wither scrap the movie or to continue with changes to the original plot.
However, with the help of Walkers’ brothers, Cody and Caleb, and computer-generated imagery (CGI), the film was completed and dedicated to the deceased actor.With the use of...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Why Vin Diesel's Promise to the Late Paul Walker Means 'Fast and the Furious' Franchise Ends With Lucky Number 10

Why Vin Diesel's Promise to the Late Paul Walker Means 'Fast and the Furious' Franchise Ends With Lucky Number 10  Showbiz Cheat SheetView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya kwanza ya Furious 7 yaonesha scenes za mwisho za Paul Walker kabla hajafariki kwa ajali

Trailer ya kwanza ya Furious 7 ilizinduliwa Jumamosi, Nov. 1 na kuonesha scenes za mwisho za marehemu Paul Walker alizofanya kabla ya ajali iliyosababisha kifo chake November 2013. Kwenye clip hiyo ya dakika mbili na kitu, Walker aliyekuwa akijulikana kwenye filamu hiyo kama Brian O’Conner anaonekana akifanya kile alichokuwa akikipatia – mbio za magari. “Just […]

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AZINDUA MAONESHO YA 5 YA KAMPUNI YA EAG GROUP LEO JIJINI DAR.

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akikata utepe kuzindua maonyesho ya 5 ya Kampuni ya EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam,kutoka kushoto ni Msanifu majengo wa wizara ya Ardhi Julius Ndege na Mkurugenzi mkuu wa EAG group Ltd Imani Kajula. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akipewa maelekezo alipotembelea banda la DEGE Eco Village na  Mkurugenzi  na Afisa Masoko wa DEGE Eco Villag,Ashar Malik katika maonyesho ya 5 ya EAG Group Ltd...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani