Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paul Walker aingia orodha ya matajiri marehemu

Mwigizaji nyota wa Fast & Furious Paul Walker ameingia kwenye orodha ya Forbes ya wasanii marehemu wanaopata pesa nyingi zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki Rihanna aingia orodha ya 'matajiri' ya Sunday Times

Mwanamuziki Rihanna ametajwa na gazeti la Sunday Times kama mwanamke tajiri katika tasnia ya mziki.Utajiri wake unakadiriwa kuwa pauni milioni 468.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Paul Walker aishtaki Porsche

Mwanawe marehemu msanii nguli wa 'Fast and Furious' Paul Walker ameishtaki kampuni ya kutengeneza magari ya Porsche kwa ajali iliyomuua babake

 

9 years ago

Bongo5

Mtoto wa Paul Walker aishtaki kampuni ya Porsche

Mtoto wa kike wa Paul Walker anaishtaki kampuni ya Porsche, kwa kudai kuwa gari hilo la michezo lililomuua baba yake miaka miwili iliyopita lilikuwa na kasoro za utengenezaji. Mashtaka hayo yaliyowasilishwa Jumatatu hii na Meadow Rain Walker yanataka kulipwa kwa hasara ambazo hazijatajwa kwa makosa ambayo wanasheria wake wanadai yalimfanya muigizaji huyo kunaswa kwenye gari […]

 

10 years ago

Mtanzania

Wimbo wa Wiz Khalifa wawaliza mashabiki wa Paul Walker

Wiz-KhalifaWIMBO wa ‘See You Again’ ulioimbwa na wasanii mashuhuri, Wiz Khalifa na Charlie Puth, uliwaliza mashabiki wengi wa aliyekuwa mcheza filamu, Paul Walker, kutokana na maneno ya maombolezo pamoja na vipande vinavyomuonyesha mwigizaji huyo akiwa katika matukio mbalimbali katika filamu ya mwendelezo ya ‘Fast & the Furious franchise’.

Muongozaji wa video hiyo, James Wan, aliandika kupitia mtandao wa kijamii namna aambavyo walikuwa na fikra kabla Paulo Walker hajafariki katika ajali ya...

 

10 years ago

Africanjam.Com

HOW "FAST & FURIOUS 7" COMPLETED UNFINISHED PAUL WALKER'S SCENES


Halfway through the filming of “Furious 7,” – currently a box office hit in cinemas world wide –Paul Walker tragically passed away in a car accident. His unfinished scenes were left in the hanging, with the directors left with the decision to wither scrap the movie or to continue with changes to the original plot.
However, with the help of Walkers’ brothers, Cody and Caleb, and computer-generated imagery (CGI), the film was completed and dedicated to the deceased actor.With the use of...

 

9 years ago

Bongo5

Mbwana Samatta aingia orodha ya 3 bora ya CAF

samatta3-e1437380737934

Mshambuliaji wa Taifa Stars ya Tanzania na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Samatta ametangazwa katika orodha ya wachezaji watatu bora na shirikisho la soka la Afrika CAF wanaocheza soka barani Afrika.

samatta3-e1437380737934

Samatta anashindana na wachezaji wengine wawili Baghdad Boundjah wa Algeria na Etoile du Sahel na Kipa machachari wa TP Mazembe ya DR Congo Robert Kidiaba.

Mshindi atachaguliwa na makocha wa timu za taifa na kutangazwa katika dhifa maalum Januari tarehe 7 mwakani.

CAF...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matajiri 435 wa Tanzania wajiunga katika orodha ya mamilionea duniani

Takriban Watanzania 435 wamekuwa mamilionea wa dola mwaka uliopita kulingana na ripoti ya utajiri ya Knight Frank.

 

10 years ago

Bongo5

Richest African Presidents 2014: Orodha ya Marais 9 matajiri zaidi wa Kiafrika

Mtandao wa Richestlifestyle.com umetoa orodha yake ya Marais na Wafalme 9 matajiri zaidi wa kiafrica 2014 (Richest African Presidents 2014). Anayeongoza kwenye nafasi ya kwanza ni Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos mwenye utajiri unaofikia $20 Billion. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ndiye Rais pekee wa Afrika mashariki kwenye orodha hiyo akiwa kwenye nafasi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani