Paul Walker aingia orodha ya matajiri marehemu
Mwigizaji nyota wa Fast & Furious Paul Walker ameingia kwenye orodha ya Forbes ya wasanii marehemu wanaopata pesa nyingi zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 May
Mwanamziki Rihanna aingia orodha ya 'matajiri' ya Sunday Times
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mwanawe Paul Walker aishtaki Porsche
9 years ago
Bongo529 Sep
Mtoto wa Paul Walker aishtaki kampuni ya Porsche
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Wimbo wa Wiz Khalifa wawaliza mashabiki wa Paul Walker
WIMBO wa ‘See You Again’ ulioimbwa na wasanii mashuhuri, Wiz Khalifa na Charlie Puth, uliwaliza mashabiki wengi wa aliyekuwa mcheza filamu, Paul Walker, kutokana na maneno ya maombolezo pamoja na vipande vinavyomuonyesha mwigizaji huyo akiwa katika matukio mbalimbali katika filamu ya mwendelezo ya ‘Fast & the Furious franchise’.
Muongozaji wa video hiyo, James Wan, aliandika kupitia mtandao wa kijamii namna aambavyo walikuwa na fikra kabla Paulo Walker hajafariki katika ajali ya...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-ju8yvLNWINU/VZLezDd8ATI/AAAAAAAACVc/7_rZjoZn994/s72-c/furious7-5.jpg)
HOW "FAST & FURIOUS 7" COMPLETED UNFINISHED PAUL WALKER'S SCENES
![](http://4.bp.blogspot.com/-ju8yvLNWINU/VZLezDd8ATI/AAAAAAAACVc/7_rZjoZn994/s400/furious7-5.jpg)
Halfway through the filming of “Furious 7,” – currently a box office hit in cinemas world wide –Paul Walker tragically passed away in a car accident. His unfinished scenes were left in the hanging, with the directors left with the decision to wither scrap the movie or to continue with changes to the original plot.
However, with the help of Walkers’ brothers, Cody and Caleb, and computer-generated imagery (CGI), the film was completed and dedicated to the deceased actor.With the use of...
9 years ago
Bongo515 Dec
Mbwana Samatta aingia orodha ya 3 bora ya CAF
![samatta3-e1437380737934](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/samatta3-e1437380737934-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa Taifa Stars ya Tanzania na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Samatta ametangazwa katika orodha ya wachezaji watatu bora na shirikisho la soka la Afrika CAF wanaocheza soka barani Afrika.
Samatta anashindana na wachezaji wengine wawili Baghdad Boundjah wa Algeria na Etoile du Sahel na Kipa machachari wa TP Mazembe ya DR Congo Robert Kidiaba.
Mshindi atachaguliwa na makocha wa timu za taifa na kutangazwa katika dhifa maalum Januari tarehe 7 mwakani.
CAF...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Matajiri 435 wa Tanzania wajiunga katika orodha ya mamilionea duniani
10 years ago
Bongo508 Oct
Richest African Presidents 2014: Orodha ya Marais 9 matajiri zaidi wa Kiafrika