Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matajiri 435 wa Tanzania wajiunga katika orodha ya mamilionea duniani

Takriban Watanzania 435 wamekuwa mamilionea wa dola mwaka uliopita kulingana na ripoti ya utajiri ya Knight Frank.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Paul Walker aingia orodha ya matajiri marehemu

Mwigizaji nyota wa Fast & Furious Paul Walker ameingia kwenye orodha ya Forbes ya wasanii marehemu wanaopata pesa nyingi zaidi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki Rihanna aingia orodha ya 'matajiri' ya Sunday Times

Mwanamuziki Rihanna ametajwa na gazeti la Sunday Times kama mwanamke tajiri katika tasnia ya mziki.Utajiri wake unakadiriwa kuwa pauni milioni 468.

 

10 years ago

Bongo5

Herieth Paul (Tanzania) aongoza orodha ya models 10 wa Afrika wanaofanya vizuri duniani

Mrembo wa Tanzania mwenye makazi yake jijini New York, Marekani, Herieth Paul ameongoza orodha ya models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi kimataifa. Orodha hiyo imetolewa na mtandao wa Africa News. Mfahamu zaidi Herieth kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye mwishoni mwa mwaka jana. Warembo wengine waliopo kwenye orodha hiyo kuanzia namba mbili ni: 2.Maria Borges […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Haya ndiyo aliyoyasema Neymar kuhusu kuwepo kwake katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo Za mchezaji bora duniani (Ballon D’or)

neymar-fc-barcelona-2013-2014

Mchezaji wa klabu ya Barcelona, Neymar.

Na Rabi Hume

Staa wa timu ya taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Neymar Da Silva Santos maarufu kama Neymar mwishoni kwa wiki hii alizungumzia kuhusu kushiriki kwake katika tuzo za mchezaji bora duniani maarufu kama Ballon d’Or zinazotolewa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).

Neymar amesema amekuwa akishiriki katika tuzo hizo lakini si kitu ambacho amekuwa akikipa nafasi katika maisha yake ya soka kutokana na kuwepo kwa wachezaji wengine ambao...

 

10 years ago

Bongo5

Richest African Presidents 2014: Orodha ya Marais 9 matajiri zaidi wa Kiafrika

Mtandao wa Richestlifestyle.com umetoa orodha yake ya Marais na Wafalme 9 matajiri zaidi wa kiafrica 2014 (Richest African Presidents 2014). Anayeongoza kwenye nafasi ya kwanza ni Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos mwenye utajiri unaofikia $20 Billion. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ndiye Rais pekee wa Afrika mashariki kwenye orodha hiyo akiwa kwenye nafasi […]

 

9 years ago

Bongo5

Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136

Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Asilimia moja ya watu matajiri duniani

Matajiri hao wanaishi katika visiwa vya kibinafsi,lakini je, hao ndio matajiri wanaojulikana Pekee?.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani