Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kasisi akiri kulawiti watoto UK

Kasisi mwenye umri wa miaka 85 nchini Uingereza amekiri kosa la kulawiti watoto wengi wavulana na kuwaharibu wengine wengi wasichana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE

Na Mwandishi Maalum, Simiyu
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.

Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/

Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie  na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

"Sasa hii tabia ya kuwageuza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni akidaiwa kulawiti watoto

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Mhandisi Msose Michael (35) mkazi wa Mkaongo Juu Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili katika Kijiji cha Zogowale wilayani ya...

 

11 years ago

Habarileo

'Vibabu' vyadaiwa kulawiti watoto 6

WAZEE wawili akiwemo mlinzi mmoja wa ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kulawiti wanafunzi sita wa shule za msingi zilizoko wilayani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Adaiwa kuhonga ubuyu kulawiti watoto

MKAZI wa mmoja wa Kijiji cha Igurubi Tarafa ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuwaingilia kimwili watoto wenye umri wa chini ya miaka kumi, baada ya kuwarubuni kwa kuwapa ubuyu na Sh 500 taslimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya kulawiti na kubaka watoto vyawaka moto uzunguni — 2

Vitendo viwili vichafu “vinavyofichwa” na watawala duniani ni biashara ya dawa za kulevya na unyanyasaji wa watoto. Ingawa ni vya aibu na ufedhuli vina faida sana kwa wahusika. Dawa za kulevya ni biashara inayotajirisha haraka kuliko zote.

 

11 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya kulawiti na kubaka watoto yawaka moto uzunguni

Leo tuzungumzie watoto. Tuangalie afya, mapenzi na usalama wao. Hakuna kipindi cha historia yetu wanadamu ambapo watoto wanafanyiwa unyama duniani kama sasa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wachungaji watatu 3 jijini Arusha wanashikiliwa na polisi kwa kulawiti watoto 6 wakiwamo 2 wa jinsia ya kiume

bomu

Kamanda wa Polisi Arusha, Liberatus Sabas.

Na Mwandishi wetu

WATOTO sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.

Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, watoto hao walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti  na wachungaji watatu wa kanisa hilo lililopo eneo la  Feed Force, Kwamrombo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama akiri kuwaua watoto wake 3

Mama mmoja mjini London amekiri kuwaua watoto wake watatu kwa sababu ya ulemavu wao wa uti wa mgongo nchini Uingereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Kasisi wa kwanza mwanamke kuapishwa UK

Kanisa mmoja nchini Uingereza hii leo litamuapisha mwanamke wa kwanza kuwa kasisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani