Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita dhidi ya kulawiti na kubaka watoto yawaka moto uzunguni

Leo tuzungumzie watoto. Tuangalie afya, mapenzi na usalama wao. Hakuna kipindi cha historia yetu wanadamu ambapo watoto wanafanyiwa unyama duniani kama sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya kulawiti na kubaka watoto vyawaka moto uzunguni — 2

Vitendo viwili vichafu “vinavyofichwa” na watawala duniani ni biashara ya dawa za kulevya na unyanyasaji wa watoto. Ingawa ni vya aibu na ufedhuli vina faida sana kwa wahusika. Dawa za kulevya ni biashara inayotajirisha haraka kuliko zote.

 

5 years ago

Michuzi

Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti



Na Amiri kilagalila,Njombe

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.

Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi jela maisha kwa kubaka, kulawiti mtoto

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu askari polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, G 9762 PC Daniel (24) kutumikia kifungo cha maisha jela, baada ya kupatikana na makosa ya kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka 13.

Mbali na kifungo hicho, mtuhumiwa huyo ameamriwa kulipa fidia ya Sh milioni 2 ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi, Said Mkasiwa baada ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya ajira kwa watoto Tanzania

Licha ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku watoto kufanyishwa kazi, tatizo hilo bado linadhihirika zaidi katika migodi

 

11 years ago

GPL

TMJ YAWAKA MOTO

Wakiendelea kuzima moto katika Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es salaam. Wagonjwa wakitolewa nje katika Hospital ya TMJ baada ya kuwaka moto. Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es salaam inawaka moto hivi sasa. Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda waliyopo eneo la tukio, moto huo umesababishwa na shoti ya umeme nyuma ya…

 

10 years ago

GPL

NDOA YA MAI YAWAKA MOTO!

Mayasa Mariwata na Gladness Malya Ooh…noo! Ile ndoa ya Mtangazaji Maimartha Jesse`Mai’ na mumewe, Raymond Shayo ‘Shaa’ inadaiwa kuwaka moto kufuatia ‘gogoro’ la ndani kwa ndani la mara kwa mara kwa wanandoa hao, kisa kikielezwa kwamba ni wivu uliokithiri wa mwanaume huyo. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na staa huyo, Shaa amefikia hatua ya kumkataza Mai kuhudhuria kwenye shughuli mbalimbali za...

 

10 years ago

CloudsFM

NDEGE YAANGUKA YAWAKA MOTO

Mamlaka ya uwanja wa ndege imethibitisha kutokea kwa ajali ya ndege moja ambayo imegonga jengo la kuongozea ndege katika uwanja wa Wichita, Kansas Marekani.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema ndege hiyo imepata ajali hiyo muda mfupi uliopita ambapo iligonga jengo hilo na kuwaacha takribani watu kumi wakiwa wamenasa ndani ya jengo na haijafahamika bado kuhusiana na hali zao.

Hakuna taarifa zinazoelezea kuhusiana na ukubwa wa ndege hiyo wala idadi ya watu waliokuwamo ndani. Picha zilizoenea...

 

11 years ago

Michuzi

NYUMBA YAWAKA MOTO JIJINI MBEYA

Wakazi wa eneo la Makunguru jijini Mbeya wakiwa wamesimama nje nyumba iliopo kwenye eneo hilo ambayo imepatwa na dhahma ya kuungua moto na kuteketea kwa mali zote zilizokuwemo ndani ya nyumba hiyo,kutokana na hitilafu ya umeme iliyojitokeza.haijadhibitika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliedhulia kwenye tukio hilo lililotokea mchana wa leo jijini humo. Sehemu ya mali zilizokuwemo kwenye nyumba hiyo zikiwa zimeteketea zote kwa moto huo. Majirani wakiangali kupitia dirishani kuona namna...

 

11 years ago

GPL

MAGARI MAWILI YAWAKA MOTO IRINGA

Wananchi Iringa mjini wakilitazama daladala lililowaka moto wakati likiwa kwa mafundiwa kuchomelea leo eneo la uwanja wa samora.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani