Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni akidaiwa kulawiti watoto

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Mhandisi Msose Michael (35) mkazi wa Mkaongo Juu Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili katika Kijiji cha Zogowale wilayani ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mbaroni akituhumiwa kulawiti mtoto

POLISI mkoani Kagera inamshikilia mkazi wa Manispaa ya Bukoba, Jovin Kasuno (22) kwa tuhuma za kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka sita na kumuumiza.

 

5 years ago

CCM Blog

SAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE

Na Mwandishi Maalum, Simiyu
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.

Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/

Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie  na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

"Sasa hii tabia ya kuwageuza...

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni akidaiwa kuua mgonjwa

POLISI mkoani Singida inamshikilia mtu anayedaiwa kuwa daktari ‘feki’ kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mgonjwa, mkazi wa kijiji cha Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani hapa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto

Polisi wanamshikilia mkazi wa Mjimwema Makambako kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa kiume mwenye umri ya miezi mitatu katika Hospitali ya Kibena, Njombe.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kuuza nyama ya binadamu

Mkazi wa Kijiji cha Kihinga, Kata ya Bugarama wilayani Ngara mkoani Kagera(jina tunalo), anashikiliwa katika kituo kidogo cha polisi cha kata hiyo baada ya kutuhumiwa kuuza kilo moja ya nyama ya binadamu kwa Sh100,000.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwanamke mbaroni akidaiwa kuua mwanawe

Mkazi wa Kitongoji cha Majengo, Kata ya Uyovu wilayani Bukombe mkoani Geita, Siwema Kayu (27) anadaiwa kumuua mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili kutokana na ulevi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbaroni akidaiwa kumuua baba yake

amanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime.
Mkazi wa Kitongoji cha Nyamorege kilichopo Mtaa wa Forodhani mji mdogo wa Sirari Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Marwa Kihiri Mwita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Kihiri Mwita kinyama kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni.

Vilevile inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alijeruhiwa kwa kucharangwa kwa panga na baba yake huyo kabla ya kumjeruhi kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni baada ya kuzuka ugomvi baina...

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni akidaiwa kukutwa na gari lililoibwa Dar

POLISI mkoani Manyara imemkamata mkazi wa mjini Babati, Rajabu Marobo (30) ikimtuhumu kuhusika na wizi wa gari lililoibwa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kukutwa akifanya ushirikina jikoni

Mkazi mmoja wa Kijiji cha Lamadi wilayani Busega, Mkoa wa Simiyu anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa mtupu akijihusisha na ushirikina katika familia ya Yusta Thomas.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani