Mbaroni akidaiwa kuua mgonjwa
POLISI mkoani Singida inamshikilia mtu anayedaiwa kuwa daktari ‘feki’ kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mgonjwa, mkazi wa kijiji cha Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mwanamke mbaroni akidaiwa kuua mwanawe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5Ul754s3-m3*ZgpfxjbhjaSYF9X5BtRfjAqlTRBmCWqcg5QQ-ehBeZ2kI1GBYzHxRZE5MSoH6BY8DOB15Yq9QsA/Kuua.gif?width=650)
ANUSURIKA KUUAWA AKIDAIWA KUUA
9 years ago
Habarileo19 Aug
Kortini akidaiwa kuua akigombea mwanamke
MFANYABIASHARA wa duka la vipuri vya magari mjini Tarime mkoani Mara, Tumaini Jacob amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akituhumiwa mauaji ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
10 years ago
Habarileo10 Jan
Mhadhiri CBE kortini akidaiwa kutishia kuua
MHADHIRI Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Andrew Kimbombo (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Mbaroni akidaiwa kulawiti watoto
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Mhandisi Msose Michael (35) mkazi wa Mkaongo Juu Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuwalawiti mabinti wawili katika Kijiji cha Zogowale wilayani ya...
10 years ago
Vijimambo17 Feb
Mbaroni akidaiwa kumuua baba yake
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Misime-17Feb2015.jpg)
Mkazi wa Kitongoji cha Nyamorege kilichopo Mtaa wa Forodhani mji mdogo wa Sirari Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Marwa Kihiri Mwita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Kihiri Mwita kinyama kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni.
Vilevile inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alijeruhiwa kwa kucharangwa kwa panga na baba yake huyo kabla ya kumjeruhi kwa kumpiga na koleo kichwani na ubavuni baada ya kuzuka ugomvi baina...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mbaroni akidaiwa kuuza nyama ya binadamu
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Mbaroni akidaiwa kukutwa akifanya ushirikina jikoni