Kortini akidaiwa kuua akigombea mwanamke
MFANYABIASHARA wa duka la vipuri vya magari mjini Tarime mkoani Mara, Tumaini Jacob amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akituhumiwa mauaji ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Jan
Mhadhiri CBE kortini akidaiwa kutishia kuua
MHADHIRI Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Andrew Kimbombo (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mwanamke mbaroni akidaiwa kuua mwanawe
10 years ago
Habarileo14 Aug
Mbaroni akidaiwa kuua mgonjwa
POLISI mkoani Singida inamshikilia mtu anayedaiwa kuwa daktari ‘feki’ kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mgonjwa, mkazi wa kijiji cha Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5Ul754s3-m3*ZgpfxjbhjaSYF9X5BtRfjAqlTRBmCWqcg5QQ-ehBeZ2kI1GBYzHxRZE5MSoH6BY8DOB15Yq9QsA/Kuua.gif?width=650)
ANUSURIKA KUUAWA AKIDAIWA KUUA
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Askofu Geita kortini akidaiwa kutapeli
ASKOFU wa Kanisa la Logos Evangilical Ministry (LEM) mkoani Geita, Michael Elikana (32) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Nyankumbu mjini hapa akituhumiwa kujipatia sh milioni 3.5 kwa udanganyifu. Mbele ya...
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Mbunge kortini akidaiwa kuchoma bendera ya CCM
NA JANETH MUSHI, ARUSHA,
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema),
jana alifikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Maji ya Chai wilayani Arumeru kwa tuhuma za uharibifu wa mali.
Mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo, David Mwita, ilidaiwa kuwa Mbunge huyo alitenda kosa hilo juzi jioni katika eneo la Maji ya Chai Kati, nje kidogo ya jiji la Arusha.
Ilidaiwa kuwa Nassari kwa makusudi alichoma bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokuwa na thamani ya Sh. 250,000, kitendo ambacho ni...
9 years ago
Habarileo28 Aug
Mchina kortini Dar akidaiwa kukutwa na meno ya simba
RAIA wa China, Jianfeng Wu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na meno ya simba yenye thamani ya Sh milioni 10.1.
9 years ago
Habarileo05 Dec
20 kortini tuhuma ya kuua watu 2
WATU 20 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kuua watu wawili.
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kortini kwa kuua mtoto wakipigana na mama
MKAZI wa kijiji cha Mkangala katika Mji wa Namanyere Mkoa wa Rukwa, Charles Mtonja (19) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi akituhumiwa kumuua mtoto wake wa kike, Kolo Mtonja , mwenye umri wa mwaka mmoja kwa kumpiga na fimbo kichwani wakati akigombana na mama yake .