Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


20 kortini tuhuma ya kuua watu 2

WATU 20 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kuua watu wawili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NAY AFUNGUKIA TUHUMA ZA KUTISHIA KUUA

STAA wa wimbo wa Muziki Gani, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefungukia skendo ya kumtishia kumuua mdogo wake aitwaye Amani Shija. Staa wa wimbo wa Muziki Gani, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Akizungumza na gazeti hili Aprili 29 mwaka huu, Nay alisema kwamba anasikitishwa sana na malalamiko ya Amani kwani katika maisha yake hajawahi kumtishia mtu kumuua na hajui ni kipi ambacho kimemvuta hadi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari

JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa tuhuma za kuua mke

POLISI wilayani Igunga mkoani Tabora inamshikilia Athuman Kiula (49) kwa tuhuma za kumuua mke wake.

 

9 years ago

Habarileo

Kortini akidaiwa kuua akigombea mwanamke

MFANYABIASHARA wa duka la vipuri vya magari mjini Tarime mkoani Mara, Tumaini Jacob amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akituhumiwa mauaji ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

 

11 years ago

Habarileo

Kortini kwa kuua mtoto wakipigana na mama

MKAZI wa kijiji cha Mkangala katika Mji wa Namanyere Mkoa wa Rukwa, Charles Mtonja (19) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi akituhumiwa kumuua mtoto wake wa kike, Kolo Mtonja , mwenye umri wa mwaka mmoja kwa kumpiga na fimbo kichwani wakati akigombana na mama yake .

 

10 years ago

Habarileo

Mhadhiri CBE kortini akidaiwa kutishia kuua

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.MHADHIRI Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Andrew Kimbombo (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

KwanzaJamii

INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUUA MWANAYE

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16). Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema marehemu Alerd alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kortini kwa kukata mkono wa albino, kuua mume

WATU watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Igunga na kusomewa mashitaka ya kukata mkono wa mlemavu wa ngozi na kisha kumuua mumewe.

 

11 years ago

Habarileo

Wawili kortini kwa tuhuma za kughushi

WASHTAKIWA wawili, Salum Mkoko na Mustaph Kantelu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka matano ya kughushi, kutoa taarifa za uongo, matumizi mabaya ya madaraka na kukwepa kulipa kodi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani