NAY AFUNGUKIA TUHUMA ZA KUTISHIA KUUA
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFYqWKbQ*NLPczNK-gmNKuAzKwELI*uJnV*bqEVUKznyu2vtqemHs8D19YII41ObG-d8-0AepvYuoQgmPeM1lQK/ney.jpg?width=650)
STAA wa wimbo wa Muziki Gani, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefungukia skendo ya kumtishia kumuua mdogo wake aitwaye Amani Shija. Staa wa wimbo wa Muziki Gani, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Akizungumza na gazeti hili Aprili 29 mwaka huu, Nay alisema kwamba anasikitishwa sana na malalamiko ya Amani kwani katika maisha yake hajawahi kumtishia mtu kumuua na hajui ni kipi ambacho kimemvuta hadi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZDLT3*b5UGvEmbAhyl78WGBVCPQ4O-C6eAe7aWqCvMfiP8cTcmYsup06-lKSSQ479D09YtbKynUtz7Wak3ZycR/nay.jpg?width=650)
NAY WA MITEGO ASAKWA KWA KUTISHIA KUUA
10 years ago
Habarileo10 Jan
Mhadhiri CBE kortini akidaiwa kutishia kuua
MHADHIRI Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Andrew Kimbombo (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLacFduaa7AUhDAgYoqKc165wEJayHYN16KweE6hitNcETSdkyFjGeurhEI8sr4FCA1ybQCIyi9CowapetAb-z-MH/Nay.jpg?width=650)
NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA
9 years ago
Habarileo05 Dec
20 kortini tuhuma ya kuua watu 2
WATU 20 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kuua watu wawili.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mbaroni kwa tuhuma za kuua mke
POLISI wilayani Igunga mkoani Tabora inamshikilia Athuman Kiula (49) kwa tuhuma za kumuua mke wake.
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mbaroni kwa tuhuma za kuua askari
JESHI la Polisi mkoani hapa, linawashikiliwa watu wawili wakazi wa Murubona Wilayani Kasulu kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo askari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jaffar Mohamed,...
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUUA MWANAYE
11 years ago
Mwananchi07 Aug
UKATILI: Inspekta wa Polisi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwanaye
10 years ago
Habarileo13 Sep
Polisi yanasa wanne kwa tuhuma za kuua kwa ujira
POLISI mkoani Kagera, inashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukodiwa kufanya mauaji yanayohusisha imani za kishirikina.