ANUSURIKA KUUAWA AKIDAIWA KUUA
![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5Ul754s3-m3*ZgpfxjbhjaSYF9X5BtRfjAqlTRBmCWqcg5QQ-ehBeZ2kI1GBYzHxRZE5MSoH6BY8DOB15Yq9QsA/Kuua.gif?width=650)
Na Gregory Nyankaira, Mara BIBI kizee Selina Akeyo (60), mkazi wa Buembu, nchini Kenya amenusurika kuuawa kwa kucharangwa mapanga na kijana wa marehemu Daniel Okumbo (72) baada ya kutuhumiwa kumuua kwa kumuwekea sumu kwenye pombe aina ya gongo. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1P2znCR
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Aug
Mbaroni akidaiwa kuua mgonjwa
POLISI mkoani Singida inamshikilia mtu anayedaiwa kuwa daktari ‘feki’ kwa tuhuma ya kusababisha kifo cha mgonjwa, mkazi wa kijiji cha Iyumbu, Wilaya ya Ikungi mkoani hapa.
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Mwanamke mbaroni akidaiwa kuua mwanawe
9 years ago
Habarileo19 Aug
Kortini akidaiwa kuua akigombea mwanamke
MFANYABIASHARA wa duka la vipuri vya magari mjini Tarime mkoani Mara, Tumaini Jacob amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya akituhumiwa mauaji ya askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Mez B anusurika kuuawa
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moses Bushamaga ‘Mez B’ usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita alinusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana maeneo ya Sinza Vatican jijini Dar...
10 years ago
Habarileo10 Jan
Mhadhiri CBE kortini akidaiwa kutishia kuua
MHADHIRI Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Andrew Kimbombo (52) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Mchungaji Mtikila anusurika kuuawa
10 years ago
Mtanzania09 Mar
Marando: Dk. Slaa anusurika kuuawa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amenusurika kuuawa na mlinzi wake.
Hilo limebainika baada ya kitengo cha ulinzi cha chama hicho kutibua mpango unaodaiwa kuratibiwa na maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TIS), wa kumuua kiongozi huyo kwa kumtumia mlinzi wake binafsi (PSU), Khalidi Kagenzi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Mabere Marando, alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gX09JerEUx3Z0Wl23bhZN0g8ZjJiGRipZe3X*fgmubHDS4CClxkNwe110Bp5Kg-fH2lUB-3lcilp6kdc5k26mZBN-rb3Zl61/9.jpg?width=650)
ANUSURIKA KUUAWA AKIDHANIWA NI MCHAWI
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya