Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke aliyetekwa nyara Kenya aokolewa

Mwanamke aliyetekwa nyara katika eneo la Dadaab, kaskazini mashariki mwa Kenya siku chache zilizopita ameokolewa na wanajeshi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Miss Honduras 2014 aliyetekwa nyara, akutwa amekufa

 Polisi wa Honduras wamesema wamepata miili inayodhaniwa kuwa ya mrembo wa nchi hiyo aliyepotea siku sita zilizopita pamoja na dada yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa UAE aishtaki Kenya

Mwanamke raia wa UAE ameishtaki serikali ya Kenya akidai alitekwa nyara na polisi, akapelekwa Somalia na Ethiopia, na kuteswa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi amvua mwanamke nguo Kenya

Afisa mmoja wa polisi wa utawala nchini Kenya ni miongoni mwa wanaume waliokamatwa kwa kujaribu kumvua nguo mwanamke katika mtaa wa Komarock viungani mwa mji mkuu Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Wafanyakazi wa basi moja waliotuhumiwa kwa kumnyanyasa kimapenzi mwanamke wanakabiliwa na hukumu ya kifo baada ya kushitakiwa kwa kosa la wizi wa mabavu.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke Mtanzania 'adaka' Kenya kwa 'unga’

MWANAMKE raia wa Tanzania, Joyce Mhonja Mosendi (38) anashikiliwa na Polisi kituo cha Isebania Wilaya ya Kurya West nchini Kenya akituhumiwa kukutwa na unga uliokuwa umepakiwa katika pakiti zaidi ya kumi na kuwekwa kwenye ndoo ya plastiki uliovushwa kwa pikipiki kuingia nchini humo kutoka Sirari, upande wa Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya

Polisi mjini Nairobi wamewakamata watu 100 katika msako baada ya mwanamke mwingine kuvuliwa nguo katika mtaa wa mabanda wa Kayole mjini Nairobi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge ‘aliyetekwa’ ahamishiwa Muhimbili

Siku moja baada ya kupatikana kwa mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Mtwara Mjini, Joel Nanauka anayedaiwa kutekwa Jumatatu iliyopita amehamishiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili MNH kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Albino aliyetekwa aumiza kichwa cha RC

Mkuu mpya wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amesema leo atakuwa na mkutano utakaompa hali halisi ya utekelezaji wa agizo alilotoa la kutafutwa kwa mtoto wenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndamiwilayani, Kwimba mkoani hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Familia ya aliyetekwa walia na polisi, watekaji

>Sintofahamu ya alipo muuguzi wa Mwananyamala, Pili Amiri imeendelea kuigubika familia ya muuguzi huyo na Jeshi la Polisi baada ya watekaji hao kushindwa kumuachia huru licha ya kupewa Sh5 milioni walichotaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani