Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albino aliyetekwa aumiza kichwa cha RC

Mkuu mpya wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo.MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amesema leo atakuwa na mkutano utakaompa hali halisi ya utekelezaji wa agizo alilotoa la kutafutwa kwa mtoto wenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndamiwilayani, Kwimba mkoani hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Huzuni, hofu vyatesa familia ya albino aliyetekwa, kuuawa -2

>Shija anasema yeye ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwa baba na mama yake, walizaliwa watoto wanane, kati ya hao wanne ni albino, lakini kati ya albino hao wawili wamekufa, hivyo wamebaki wawili.

 

10 years ago

Michuzi

DKT. MAGUFULI ATOA MSAADA KWA MAMA MZAZI WA ALBINO ALIYETEKWA NA KUUAWA

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Dkt. John Pombe Magufuli amelaani vikali tukio la kikatili la kutekwa na kuuawa kwa mtoto Yohana Bahati pamoja na kujeruhiwa vibaya kwa mama mzazi wa marehemu na watu wasiofahamika.
Akizungumza kwa masikitiko makubwa jijini Dar es Salaam, Dkt.Magufuli amewataka Watanzania kuishi kwa amani na upendo na kuacha dhana ya kutajirika kutokana na viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino).
“Tukio hili ni la kinyama na halikubaliki popote...

 

10 years ago

Vijimambo

Mama aliyeporwa mtoto albino afanyiwa upasuaji wa kichwa

Ester Jonas (30) ambaye ni mama mzazi wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yohana Bahati akiwa amelazwa kwenye chumba cha uangalizi maalumu katika Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC). Picha na Aidan Mhando
Geita/Dar. Mama wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ambaye alitekwa juzi na watu wasiofahamika mkoani Geita, amefanyiwa upasuaji wa kichwa na jopo la madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) mjini Mwanza.Mama huyo aliyefahamika kwa jina la Ester Jonas (30), alilazimika kufanyiwa upasuaji huo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mama aliyeporwa mtoto albino afanyiwa upasuaji wa kichwa

 Mama wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi ambaye alitekwa juzi na watu wasiofahamika mkoani Geita, amefanyiwa upasuaji wa kichwa na jopo la madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC) mjini Mwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wataka kichwa cha Muhongo

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umelitaka Bunge kuiwajibisha Serikali ikiwa Rais Jakaya Kikwete atashindwa kutekeleza maazimio ya Bunge ikiwamo kumng’oa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Sangoma akamatwa na kichwa cha mtu


Na Abdallah Amiri, Igunga
WAKATI kamatakamata ya waganga wa kienyeji ikiendelea kupamba moto katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, mmoja amenaswa akiwa na viungo vya binadamu, kikiwemo kichwa ambacho bado kilikuwa na nywele zake.
Mganga huyo, Nyamizi Makunga (70), mkazi wa Kijiji cha Igurubi wilayani Igunga, Tabora, alitiwa mbaroni juzi. Mbali na viungo hivyo, pia alikutwa na vifaa vingine, zikiwemo nyara za serikali.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Igurubi, George Henry, alisema Makunga alikamatwa nyumbani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Donald Mwakamele: Umeme si kitu cha kusumbua kichwa miaka yote

HAKUNA asiyefahamu kuwa uchumi wa nchi unategemea suala zima la upatikanaji wa umeme wa uhakika. Hivyo kila kukicha wataalamu mbalimbali wa masuala ya umeme wamekuwa wakitoa maoni yao nini kifanyike,...

 

10 years ago

GPL

MAMA: KIPIGO CHA BABA YAKE KIMESABABISHA MTOTO AFANYIWE UPASUAJI WA KICHWA

Stori: Mayasa mariwata na Haruni Sanchawa
KATIKA hali ambayo siyo ya kawaida iliyowashangaza wakazi wa eneo la Ukonga Mazizini kwa Makobe, baba  mmoja aliyefahamika kwa jina la Elisha Zakari amedaiwa kumpiga mwanaye wa kumzaa kipigo kama cha ng’ombe machungani na kusababisha azimie na kulazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mtoto Amani Elisha (10) aliyepigwa vibaya na baba yake mzazi hadi kuzimia kwa siku mbili. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani