SIMULIZI: Huzuni, hofu vyatesa familia ya albino aliyetekwa, kuuawa -2
>Shija anasema yeye ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwa baba na mama yake, walizaliwa watoto wanane, kati ya hao wanne ni albino, lakini kati ya albino hao wawili wamekufa, hivyo wamebaki wawili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lJRHJ_ELMbA/VOhaablsH9I/AAAAAAAHE6I/ru4n-3-gc0M/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
DKT. MAGUFULI ATOA MSAADA KWA MAMA MZAZI WA ALBINO ALIYETEKWA NA KUUAWA
Akizungumza kwa masikitiko makubwa jijini Dar es Salaam, Dkt.Magufuli amewataka Watanzania kuishi kwa amani na upendo na kuacha dhana ya kutajirika kutokana na viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi(Albino).
“Tukio hili ni la kinyama na halikubaliki popote...
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Familia ya aliyetekwa walia na polisi, watekaji
10 years ago
Habarileo12 Jan
Albino aliyetekwa aumiza kichwa cha RC
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amesema leo atakuwa na mkutano utakaompa hali halisi ya utekelezaji wa agizo alilotoa la kutafutwa kwa mtoto wenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndamiwilayani, Kwimba mkoani hapa.
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
10 years ago
Mwananchi25 May
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqeiGfekGbacjOyDRD8SOXJ1-SfucJBPrzGfP2IXw3P*L2dBLYQdcmzQ05gofw9ScH1uB4Ztv1C1ul8CSGGWodO/BACKUWAZI.jpg)
FAMILIA KUTEKETEA KWA MOTO SIMULIZI YAKE INATISHA!
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Albino bado wanaishi kwa hofu TZ
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
ACT: Udhaifu unachangia albino kuishi kwa hofu
MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparence (ACT-Tanzania), Kadawi Limbu, amesema udhaifu wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kuwalinda raia na mali zao kumechangia baadhi ya...
9 years ago
StarTV26 Sep
Hofu yasababisha Albino kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni.
Watu wenye ulemavu wa ngozi Albino mkoani Mara wamesema licha ya kuwa na haki ya kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wamekuwa wakikosa fursa hiyo kutokana na kuhofia usalama wa maisha yao.
Wamesema licha ya Serikali na vyombo vingine kukemea vitendo wa kikatili wanavyofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi ikiwemo kutekwa na kuuawa kikatili na kisha kunyofolewa baadhi ya viungo lakini bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza vitendo hivyo...