Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia ya aliyetekwa walia na polisi, watekaji

>Sintofahamu ya alipo muuguzi wa Mwananyamala, Pili Amiri imeendelea kuigubika familia ya muuguzi huyo na Jeshi la Polisi baada ya watekaji hao kushindwa kumuachia huru licha ya kupewa Sh5 milioni walichotaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI: Huzuni, hofu vyatesa familia ya albino aliyetekwa, kuuawa -2

>Shija anasema yeye ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwa baba na mama yake, walizaliwa watoto wanane, kati ya hao wanne ni albino, lakini kati ya albino hao wawili wamekufa, hivyo wamebaki wawili.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ‘aliyetekwa’ Mtwara apatikana, polisi wachunguza

Jeshi la polisi Mkoa wa Mtwara limesema linachunguza kwa kina taarifa za kutekwa kwa mgombea ubunge jimbo la Mtwara mjini (Chadema) Joel Nanauka na endapo litabaini kuna udanganyifu ameufanya dhidi ya tukio hilo hatua za kisheria zitachukuliuwa  dhidi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yahusishwa na watekaji S Kusini

UN inasema kuwa vijana wa kiume waliotekwa nchini Sudan Kusini huenda walichukuliwia na wapiganaji wenye uhusiano na serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi walaumiwa na familia za wasichana

Jamaa za wasichana 3 wa UK waliotoroka na kujiunga na wanamgmbo wa Islamic State Syria wamewashtumu vikali maafisa wa polisi

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waokoa watoto 4 wa familia moja waliotekwa

VITENDO vya utekaji nyara watu vimeibuka jijini Dar es Salaam baada ya watu watano wenye asili ya kiarabu kutekwa wakiwemo watoto wanne wa familia moja na baadaye kuokolewa na polisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nesi atekwa Dar, watekaji wataka Sh5 mil

Watu wasiojulikana wamemteka Muuguzi wa Hospitali ya Mwananyamala, Pili Amiri, huku wakitoa sharti la kupewa Sh5 milioni ili wamuache huru.

 

9 years ago

Mwananchi

Dodoma wamuaga polisi aliyekufa maji na familia yake

Mji wa Dodoma jana ulizizima wakati polisi walipokuwa wakiaga miili sita ya marehemu ikiwamo ya wenzao wawili waliokufa maji juzi.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi

Mazungumzo yake na Azam Tv Yaliyorushwa Leo Asubuhi akihojiwas na Tido Mhando Tuesday, September 8, 2015 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake […]

The post Dk Slaa atimkia Marekani yeye na Familia yake, nyumba italindwa na polisi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Familia, polisi, kanisa wamtenga askari aliyejiua kwa risasi mdomoni

>Polisi aliyejiua kwa kujipiga risasi mdomoni, Aloyce Mafuru (24), amezikwa katika makaburi ya Mugumu, Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara bila huduma za kidini na kijeshi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani