Polisi waokoa watoto 4 wa familia moja waliotekwa
VITENDO vya utekaji nyara watu vimeibuka jijini Dar es Salaam baada ya watu watano wenye asili ya kiarabu kutekwa wakiwemo watoto wanne wa familia moja na baadaye kuokolewa na polisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab
11 years ago
GPLWATOTO WAWILI FAMILIA MOJA WAFA PAMOJA
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Watoto wa familia moja wateketea kwa moto Mbeya
9 years ago
Habarileo08 Sep
Watoto familia moja wafia majini wakivua samaki
WA T O T O wawili wa f a m i l i a moja wilayani hapa, wamekufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kuvulia samaki, kugonga mwamba na kuzama katika Ziwa Victoria.
10 years ago
Vijimambo22 Mar
NYUMBA YA UNGUA MOTO NA KUUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA BROOKLYN. NY
Chombo hiki ndiyo kilichosababisha nyumba kuungua moto na kuua watoto 7 Brooklyn New York watoto wa kike wa 3 na wakiume wa 4 wote ni wa familia moja wakiwa wame lala usiku na chombo hiki kukiacha kikiwa na moto baada ya kusahau kukizima. Chombo hiki utumiwa na Wajewish wakati wa kipindi cha Sabbath yani kama kwarezma kwa wakristo.Moto ulikuwa mkubwa na uliteketeza vitu vyote vya ndani na kwenye nyumba yenye paa 3na kuua watoto hao, Mama wa watoto alikimbia kupitia dirishani na mtoto mdogo...
11 years ago
Michuzi10 years ago
Habarileo02 Mar
Watano wa familia moja hoi
WATU watano wa familia moja katika Kitongoji cha Benaco, Kata ya Mtandi Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara, wamelazwa katika Hospitali ya Mkomaindo huku hali zao zikiwa mbaya baada ya kunywa dawa ya kienyeji waliyopewa na mganga wa tiba za asili.
11 years ago
CloudsFM23 Jul
FUTARI YAUA WATATU WA FAMILIA MOJA
Watu watatu wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Kwasunga wilayani Handeni wamekufa baada ya kula futari ya mihogo inayosadikiwa kuwa na sumu.Akizungumza na waandishi wa habari jana, kamanda wa polisi wa Mkoa wa Tanga, Constantine Massawe alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:00 usiku eneo la Kwasunga Handeni na maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni.
Kamanda Massawe aliwataja waliokufa kuwa ni Juma Jumbe (6), Abdi Jumbe (10) na Ramadhani Jumbe (15). Pia alisema kuwa...
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Ajali yaua watano wa familia moja