Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watano wa familia moja hoi

WATU watano wa familia moja katika Kitongoji cha Benaco, Kata ya Mtandi Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara, wamelazwa katika Hospitali ya Mkomaindo huku hali zao zikiwa mbaya baada ya kunywa dawa ya kienyeji waliyopewa na mganga wa tiba za asili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua watano wa familia moja

Watu watano wa familia moja wilayani  Ludewa, mkoa wa Njombe, wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Toyota Cresta walilokuwa wamepanda kuacha njia na kutumbukia mtoni.

 

11 years ago

CloudsFM

FUTARI YAUA WATATU WA FAMILIA MOJA

Watu watatu wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Kwasunga wilayani Handeni wamekufa baada ya kula futari ya mihogo inayosadikiwa kuwa na sumu.Akizungumza na waandishi wa habari jana, kamanda wa polisi wa Mkoa wa Tanga, Constantine Massawe alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:00 usiku eneo la Kwasunga Handeni na maiti zimehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni.
Kamanda Massawe aliwataja waliokufa kuwa ni Juma Jumbe (6), Abdi Jumbe (10) na Ramadhani Jumbe (15). Pia alisema kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wa familia moja wafa ajalini

WATU watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kugongwa na basi la Kampuni ya Mtei Express katika Kijiji cha Kisasida, nje kidogo ya Manispaa ya Singida....

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waokoa watoto 4 wa familia moja waliotekwa

VITENDO vya utekaji nyara watu vimeibuka jijini Dar es Salaam baada ya watu watano wenye asili ya kiarabu kutekwa wakiwemo watoto wanne wa familia moja na baadaye kuokolewa na polisi.

 

10 years ago

Vijimambo

WANA NDUGU WA FAMILIA MOJA WAKUTAANA CHICAGO

 Mayor wa Seattle(Amin Dola) akiwa nje ya mgahawawa Michael Jordan jijini Chcago alipokua amekwenda kumtembelea mdogo wake Dola Soul Mayor wa Seattle akitaatiza mitaa ya Chicago.Wana ndugu Dola Soul na Amin Dola "Mayor" wa Seattle wakitaabaruk walipokutana jijini Chicago baada ya Amin Dola kumtembelea mdogo wake Dola Soul anayeishi pande hizo.

 

10 years ago

Habarileo

5 wa familia moja wafa kwa kukatwa mapanga

WATU watano wa familia moja akiwemo mtoto wa miezi tisa, wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na ugomvi unaodaiwa kua wa mgogoro wa ardhi katika kijiji cha Kisesa katika Kata ya Bugarama, wilayani Maswa, Mkoani Simiyu.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto.

WATU tisa wa familia moja wenye asili ya Ziwani, Pemba wamekufa kwenye ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao jijini Dar es Salaam, huku baba wa familia akinusurika kwa kuwa alikuwa amekwenda msikitini kuswali. Nyumba hiyo iliyoteketea […]

The post Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto. appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAWILI FAMILIA MOJA WAFA PAMOJA

Stori: Juma Kapipi, Tabora
INAUMA sana! Watoto wawili wa kiume wa familia moja, Daniel Paul (8) na mdogo wake, Emmanuel Paul (3), wamepoteza maisha wakiwa pamoja baada ya kuteketea kwa moto ndani ya nyumba. Miili ya watoto wawili, Daniel Paul na mdogo wake, Emmanuel Paul ikitolewa eneo la tukio. Katika tukio lililojiri majira ya saa 1:00 asubuhi, maeneo ya Mtaa wa Rufita, Mwanza-Road mjini hapa baada ya nyumba waliyokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani