Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


5 wa familia moja wafa kwa kukatwa mapanga

WATU watano wa familia moja akiwemo mtoto wa miezi tisa, wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na ugomvi unaodaiwa kua wa mgogoro wa ardhi katika kijiji cha Kisesa katika Kata ya Bugarama, wilayani Maswa, Mkoani Simiyu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto.

WATU tisa wa familia moja wenye asili ya Ziwani, Pemba wamekufa kwenye ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao jijini Dar es Salaam, huku baba wa familia akinusurika kwa kuwa alikuwa amekwenda msikitini kuswali. Nyumba hiyo iliyoteketea […]

The post Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto. appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wa familia moja wafa ajalini

WATU watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kugongwa na basi la Kampuni ya Mtei Express katika Kijiji cha Kisasida, nje kidogo ya Manispaa ya Singida....

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAWILI FAMILIA MOJA WAFA PAMOJA

Stori: Juma Kapipi, Tabora
INAUMA sana! Watoto wawili wa kiume wa familia moja, Daniel Paul (8) na mdogo wake, Emmanuel Paul (3), wamepoteza maisha wakiwa pamoja baada ya kuteketea kwa moto ndani ya nyumba. Miili ya watoto wawili, Daniel Paul na mdogo wake, Emmanuel Paul ikitolewa eneo la tukio. Katika tukio lililojiri majira ya saa 1:00 asubuhi, maeneo ya Mtaa wa Rufita, Mwanza-Road mjini hapa baada ya nyumba waliyokuwa...

 

9 years ago

StarTV

Watu wanne wauawa kwa kukatwa mapanga Geita

Watu wanne wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Bugalama Wilaya ya Geita.

Tukio hilo limetokea disemba moja majira ya saa nne usiku likihusishwa na imani za kishirikina ambapo inadaiwa marehemu Mariamu Lushafisha alimuua mumewe Samuel Masebu ambaye alikuwa akionekana mara kwa mara maeneo ya nyumbani na baadhi ya wanandugu wa upande wa kiume kumtuhumu Mariam amemuua kimazingara.

Watu hao wasiofahamika waliingia na mapanga kwenye mji wa Marehemu Samuel Masebu...

 

9 years ago

Michuzi

WATU WANNE WAMEUWAWA KWA KUKATWA NA MAPANGA MKOANI GEITA

Watu wanne wameuwawa kwa kukatwa na mapanga na watu wasiofahamika mkoani Geita kutokana na imani za kishirikina.

 

11 years ago

Habarileo

Michango yasababisha ndugu watatu kukatwa mapanga

 Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Justus KamugishaWATU watatu wa familia moja ya Mzee Nyamachoma Gutu wa Kijiji cha Magoma Kata ya Binagi Tarafa ya Inchage, wamejeruhiwa kwa kukatwa mapanga na nyumba kuchomwa moto na kundi la watu waliodai kuwa ni wanandugu waliokuwa wakikusanya michango ya ndugu ya kusaidia familia ya koo hiyo.

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAKATWA MAPANGA

Stori: Waandishi Wetu Tukio hilo lilitokea Aprili 18, mwaka huu, maeneo ya Mkuranga mkoani Pwani ambapo awali familia hiyo ilipata taarifa kuwa kuna watu wanaonekana kwenye shamba lao wakikata miti na kujipimia maeneo, hali iliyowalazimu kufunga safari ili kujua watu hao walikuwa na lengo gani. Mmoja wa wanafamilia aliyejeruhiwa alitambukika kwa jina moja la Coline. Akizungumza na waandishi wetu, Karim alisema kuwa akiwa...

 

9 years ago

Habarileo

Sita wa familia moja mbaroni kwa ugaidi

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watu saba, wakiwemo sita wa familia moja kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ugaidi. Kukamatwa kwa watuhumiwa hao ni muendelezo wa operesheni inayoendeshwa na Polisi Kanda hiyo pamoja na mikoa jirani ya kuwatafuta watuhumiwa wote waliojihusisha na matukio ya kupanga kuvamia vituo vya polisi, kuua askari na raia na kupora silaha.

 

9 years ago

Mwananchi

Watoto wa familia moja wateketea kwa moto Mbeya

Watoto wawili wa familia moja wameteketea kwa moto huku mama yao akiungua sehemu kubwa ya mwili wake baada ya chumba walichokuwa wamelala kuungua kwa moto katika Mtaa wa Itiji jijini hapa usiku wa kuamkia leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani